Habarini wandugu,
Naomba wataalamu wa mambo ya mavazi wanipe elimu kuhusu hili jambo katika uvaaji wa suti zikiwa na label mikononi. Sijajua ni lipi sahihi kati ya haya; Unaponunua suti hizi ready made mara nyingi zinakuwa na label kwenye mkono hasa wa kushoto, kuziondoa ama kuziacha.
Nimeona watu wengi huvaa zikiwa na label yake hivohivo. Mimi binafsi huwa sijisikii huru kuvaa suti ikiwa na hizo label mikononi, hivyo huwa nafanya mpango wa kuziondoa kabla ya kuzivaa.
Sasa ningependa kusikia kwa wengine nini mtizamo sahihi maana nimeona watu wengi tena maarufu kama wasanii na wafanyabiashara wa kati nao huwa hawaondoi hizi label ila sijawahi ona viongozi wa juu wa kitaifa wakivaa suti zikiwa na ma-label mikononi.
Naomba wataalamu wa mambo ya mavazi wanipe elimu kuhusu hili jambo katika uvaaji wa suti zikiwa na label mikononi. Sijajua ni lipi sahihi kati ya haya; Unaponunua suti hizi ready made mara nyingi zinakuwa na label kwenye mkono hasa wa kushoto, kuziondoa ama kuziacha.
Nimeona watu wengi huvaa zikiwa na label yake hivohivo. Mimi binafsi huwa sijisikii huru kuvaa suti ikiwa na hizo label mikononi, hivyo huwa nafanya mpango wa kuziondoa kabla ya kuzivaa.
Sasa ningependa kusikia kwa wengine nini mtizamo sahihi maana nimeona watu wengi tena maarufu kama wasanii na wafanyabiashara wa kati nao huwa hawaondoi hizi label ila sijawahi ona viongozi wa juu wa kitaifa wakivaa suti zikiwa na ma-label mikononi.