😳😳🚶🏻♂️🚶🏻♂️🚶🏻♂️🚶🏻♂️🚶🏻♂️🚶🏻♂️🚶🏻♂️Nimekutana nalo
Natamani Lovemewise ayasome haya manenoNilishauzaga mechi kwa kigezo hicho. Safari ya angaza ilipofika nilikimbia majibu mpaka leo sijayafata... mwanamke usimuamini hata kwa kumtania
Kama wale walokole swaafi na waimba kwaya ni [emoji706][emoji706][emoji706][emoji17][emoji17]Kuuza mechi kwa kigezo cha kuwa binti ni mpole, mkimya, mnyenyekevu, mlokole, ustadhat, hana makandokando ni kujitafutia kaburi la mapema.
Kuna siku utakuja kusikia anayoyafanya nyuma ya pazia hutaamini macho yako (japo sio wote).
Ni vyema kujikinga hata kama binti ananena kwa lugha usiaminiamini tuu.
KabisaKuuza mechi kwa kigezo cha kuwa binti ni mpole, mkimya, mnyenyekevu, mlokole, ustadhat, hana makandokando ni kujitafutia kaburi la mapema.
Kuna siku utakuja kusikia anayoyafanya nyuma ya pazia hutaamini macho yako (japo sio wote).
Ni vyema kujikinga hata kama binti ananena kwa lugha usiaminiamini tuu.
Tumia kinga usimwamini mtu bro
Hivi kwanini siku hizi ban zimekuwa nyingi sana jf?Pole sana, kimeumana?