sokolaboro
JF-Expert Member
- Dec 1, 2011
- 313
- 54
mba msaada wa kuunganisha modem yangu K 3570z ya vodafone niweze kutumia zain kama ninavyofanya katika window xp 3. Nitumie njia gani au namna gani. kwani nimesikia kwamba internet huko ubuntu ni faster.