Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,505
- 2,902
Hivi kipindi kile paul makonda kwenye sakata la madawa ya kulevya kitu gani kilisababisha ashinde makanisani na kwa masheikh akiombewa??
Je vipi mkulu wetu nae mda huu sijasikia kauli yake ya kutaka kuombewa je Tayar dua zinamtosha au inakuwaaj?.
Je vipi mkulu wetu nae mda huu sijasikia kauli yake ya kutaka kuombewa je Tayar dua zinamtosha au inakuwaaj?.