samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,594
- 4,798
Kukumbatia maiti ili kutaka kujua ukweli wa kilichotokea sio siasa, wala cdm hawahitaji kufanya hivyo ili kujijenga kivyovyote kwani tayari wako mioyoni mwa watanzania.. kama hujui hilo endelea kuutesa moyo wako!
hivi kama serikali ya ccm imeua wezi.. kuna ulazima gani wa wao kukimbilia kutaka kuzika miili ya marehemu na kutaka kutoa m3 kama ni wezi? kuna vitu vingine tuwekeni ushabiki kando na tujadili sisi kama watanzania kwa sababu hao waliouliwa ni watz wenzetu,
hivi kama serikali ya ccm imeua wezi.. kuna ulazima gani wa wao kukimbilia kutaka kuzika miili ya marehemu na kutaka kutoa m3 kama ni wezi? kuna vitu vingine tuwekeni ushabiki kando na tujadili sisi kama watanzania kwa sababu hao waliouliwa ni watz wenzetu,