Kutumbuliwa kwa Mama Anne Malecela na Dr. Mwele na makosa anayofanya mkuu wa mkoa

Ndaxy EMI

JF-Expert Member
Aug 16, 2015
526
319
Naomba ufafanuzi wa hawa wahanga wa hii kadhia na mambo anayoyafanya Paul.

1. Mama Malecela alidanganywa ishu ya watumishi hewa akatangaza na hata masaa 24 hayakupita akatumbuliwa. Mbona Paul kadanganywa na yule mwekezaji aliyempa ardhi ya kujenga viwanda pale Kigamboni na akatangaza na kumsifia hadharani lakini hajatumbuliwa.

2. Dr. Mwelle alitoa taarifa ambayo yeye hatakiwi kuitoa na hakudumu zaidi ya masaa sita. Lakini Paul katoa taarifa za madawa ya kulevya ambayo mwenye jukumu ni waziri mkuu na bado yuko anadunda Ikulu ndogo.

Utofauti ni upi?
 
But bwa DB alitoa angalizo kwa jamaa kwamba akigundua anamfanyia usanii atakuta.Chezeya cheti fake wewe...
 
Nimeona hili swala la ukosefu wa Sir. RC vyeti linaanza kugegeda upande wa pili. Mpishi wa huyu mpishi analaumiwa sasa in very indirect way
 
Tofauti ni hizi zifuatavyo
1. Anne Kilango alidanganywa ila Daud bashite amedanganya

2.Anne alifaulu ila Daud alifeli (alizungusha)

3.Anne anatokea kanda ya kaskzini Bashite kanda ya ziwa

4.Ungezea wewe......
 
Naomba ufafanuzi wa hawa wahanga wa hii kadhia na mambo anayoyafanya Paul.
1. Mama malecela alidanganywa ishu ya watumishi hewa akatangaza na hata masaa 24 hayakupita akatumbuliwa. Mbona Paul kadanganywa na yule mwekezaji aliyempa ardhi ya kujenga viwanda pale kigamboni na akatangaza na kumsifia hadharani lakini hajatumbuliwa.
2. Dr. Mwelle alitoa taarifa ambayo yeye hatakiwi kuitoa na hakudumu zaidi ya masaa sita. Lakini Paul katoa taarifa za madawa ya kulevya ambayo mwenye jukumu ni waziri mkuu na bado yuko anadunda ikulu ndogo.

Utofauti no upi??
Nepotism, tribalism, Ukandalisim, ndugunisation, rafikinazation, mjombanaization, shangazinization, kakanization, dadanisation.................... endless list..............................
 
Tofauti ni hizi zifuatavyo
1. Anne Kilango alidanganywa ila Daud bashite amedanganya

2.Anne alifaulu ila Daud alifeli (alizungusha)

3.Anne anatokea kanda ya kaskzini Bashite kanda ya ziwa

4.Ungezea wewe......

Mbona hatari sasa mkuu
 
Naomba ufafanuzi wa hawa wahanga wa hii kadhia na mambo anayoyafanya Paul.
1. Mama Malecela alidanganywa ishu ya watumishi hewa akatangaza na hata masaa 24 hayakupita akatumbuliwa. Mbona Paul kadanganywa na yule mwekezaji aliyempa ardhi ya kujenga viwanda pale Kigamboni na akatangaza na kumsifia hadharani lakini hajatumbuliwa.

2. Dr. Mwelle alitoa taarifa ambayo yeye hatakiwi kuitoa na hakudumu zaidi ya masaa sita. Lakini Paul katoa taarifa za madawa ya kulevya ambayo mwenye jukumu ni waziri mkuu na bado yuko anadunda Ikulu ndogo.

Utofauti ni upi?

time will tell
 
Nepotism, tribalism, Ukandalisim, ndugunisation, rafikinazation, mjombanaization, shangazinization, kakanization, dadanisation.................... endless list..............................
Feminism verse maleism
 
Mmmmh nini Daudi Bshite
Mmesahau na umeme wa Mramba? mchakato ulianza anaona anakaa kimya matokeo yake anaenda kulisema kanisana na kumtumbua Mungu tuepushe na huyu mtu

Sitaacha kumlaani aliyemleta mhuyu mtu kwa kweli
 
Naomba ufafanuzi wa hawa wahanga wa hii kadhia na mambo anayoyafanya Paul.
1. Mama Malecela alidanganywa ishu ya watumishi hewa akatangaza na hata masaa 24 hayakupita akatumbuliwa. Mbona Paul kadanganywa na yule mwekezaji aliyempa ardhi ya kujenga viwanda pale Kigamboni na akatangaza na kumsifia hadharani lakini hajatumbuliwa.

2. Dr. Mwelle alitoa taarifa ambayo yeye hatakiwi kuitoa na hakudumu zaidi ya masaa sita. Lakini Paul katoa taarifa za madawa ya kulevya ambayo mwenye jukumu ni waziri mkuu na bado yuko anadunda Ikulu ndogo.

Utofauti ni upi?
Mwenzetu na si mwenzetu
 
Back
Top Bottom