KANUSHO: Dr. Mwele Malecela hajateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa WHO Afrika

Status
Not open for further replies.

Jackal

JF-Expert Member
Apr 10, 2012
9,559
12,681
HONGERA TENA DK. MWELE MALECELA

Dk. Mwele Macelela ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika na kwa hiyo atakuwa mtu wa pili kimamlaka katika Makao Makuu ya Shirika hilo barani Afrika kwa ujumla. Hiyo ina maana kuwa nchi zote za Afrika zitamkimbilia ili kupata mabilioni ya fedha yanayotolewa na WHO kusaidia kuhuisha sekta ya afya.

Mwaka 2016 Uteuzi wa Dk. Mwele Malecela kama Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (National Institute for Medical Research - NIMR) ulitenguliwa na Rais John Magufuli, siku moja baada ya Dk. Mwele kusoma hadharani ripoti iliyoonesha kuwa kuna kina mama wamekutwa na dalili za virusi vya ZIKA nchini Tanzania.

Inadaiwa kuwa kabla hajafukuzwa kazi alikataa shinikizo la kukanusha matokeo ya ripoti kutoka kwa serikali na akaweka msimamo kuwa "masuala ya kitabibu huendeshwa na watalaamu kupitia tafiti na si wanasiasa na siasa."

Pamoja na yote hayo, Dk. Malecela anashikilia rekodi nyingi na kubwa sana. Kwa mfano, Dk. Mwele ndiye mwanamke wa kwanza duniani na mwafrika wa kwanza kuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Kimataifa cha Taasisi za Afya Jamii (IANPHI) taasisi ambayo ni mwamvuli wa taasisi zote za kitaifa za afya kwenye mataifa yote duniani.

Dk. Malecela alijiunga NIMR mwaka 1987 baada ya kuhitimu shahada zake kutoka Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam (UDSM), pia ana Shahada ya Uzamivu (PhD) kutoka Chuo Kikuu cha London Uingereza mwaka 1995.

Sekta ya Afya nchini Tanzania haitamsahau kwa mchango wake mkubwa kwenye kujenga misingi ya tafiti za afya na hasa usimamizi wake kwenye Mchakato wa Kuweka Vipaumbele vya Kitaifa vya Tafiti za Afya ambao ulianzishwa mwaka 1999 na baadaye kufanyiwa mapitio mwaka 2005.

J.Mtatiro

=======

UPDATES:

Taarifa za Dkt. Mwele Malecela kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, sio za kweli.

FB_IMG_1523191004352.jpg


Habari zaidi, soma=>Dkt. Mwele Malecela aula Umoja wa Mataifa. Kuongoza vituo vya magonjwa Afrika

Rais atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela

Dr. Mwelecele (aka Mwele) Malecela pamoja na Dr. Kigwangala wamechukua fomu ya kugombea Urais wa JMT

Dk. Mwele Malecela ateuliwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa NIMR
 
Salamu wakuu.
Yule mama mashuhuri ktk masuala ya kiafya, Dr. Mwele Malecela ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa WHO Africa.

Itakumbukwa huyu alitumbuliwa mchana kweupe baada ya kutoa ripoti kupitia taasisi aliyokuwa anaiongoza ya NIMR kusema kuna viashiria vya ugonjwa wa "zika".
Yeye aligoma kukanusha taarifa ile na ndipo JPM akamtumbua mchana kweupe mwaka 2016.

Baada ya muda aliteuliwa mkurugenzi WHO kanda ya maziwa makuu.

Sasa amepewa ukurugenzi WHO AFRICA nzima.

Kwa hiyo Tz ya Magufuli itabidi ipige hodi ofisini kwa mama Dr. Mwele ili kuwasilisha maombi yao yoyote yale hasa ktk miradi ya kiafya inayofadhiliwa na umoja wa Mataifa kupitia WHO na taasisi zake washirika.

...Huyu mama ni wa kipekee hakukana ripoti kama yule Prof. Assad na deni la taifa.

...Haya Tz mama Dr Mwele atatusaidia.

Kuna jambo la kujifunza hapo.

Nawasilisha..
 
Salamu wakuu.
Yule mama mashuhuri ktk masuala ya kiafya, Dr. Mwele Malecela ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa WHO Africa.

Itakumbukwa huyu alitumbuliwa mchana kweupe baada ya kutoa ripoti kupitia taasisi aliyokuwa anaiongoza ya NIMR kusema kuna viashiria vya ugonjwa wa "zika".
Yeye aligoma kukanusha taarifa ile na ndipo JPM akamtumbua mchana kweupe mwaka 2016.

Baada ya muda aliteuliwa mkurugenzi WHO kanda ya maziwa makuu.

Sasa amepewa ukurugenzi WHO AFRICA nzima.

Kwa hiyo Tz ya Magufuli itabidi ipige hodi ofisini kwa mama Dr. Mwele ili kuwasilisha maombi yao yoyote yale hasa ktk miradi ya kiafya inayofadhiliwa na umoja wa Mataifa kupitia WHO na taasisi zake washirika.

...Huyu mama ni wa kipekee hakukana ripoti kama yule Prof. Assad na deni la taifa.

...Haya Tz mama Dr Mwele atatusaidia.

Kuna jambo la kujifunza hapo.

Nawasilisha..
Yes tamu sana...liseme funzo lake sasa
 
Salamu wakuu.
Yule mama mashuhuri ktk masuala ya kiafya, Dr. Mwele Malecela ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa WHO Africa.

Itakumbukwa huyu alitumbuliwa mchana kweupe baada ya kutoa ripoti kupitia taasisi aliyokuwa anaiongoza ya NIMR kusema kuna viashiria vya ugonjwa wa "zika".
Yeye aligoma kukanusha taarifa ile na ndipo JPM akamtumbua mchana kweupe mwaka 2016.

Baada ya muda aliteuliwa mkurugenzi WHO kanda ya maziwa makuu.

Sasa amepewa ukurugenzi WHO AFRICA nzima.

Kwa hiyo Tz ya Magufuli itabidi ipige hodi ofisini kwa mama Dr. Mwele ili kuwasilisha maombi yao yoyote yale hasa ktk miradi ya kiafya inayofadhiliwa na umoja wa Mataifa kupitia WHO na taasisi zake washirika.

...Huyu mama ni wa kipekee hakukana ripoti kama yule Prof. Assad na deni la taifa.

...Haya Tz mama Dr Mwele atatusaidia.

Kuna jambo la kujifunza hapo.

Nawasilisha..
Wakati mwingine mtu akikufungia mlango Mungu anafungua geti
 
Huyu ni Mama yake Mange Kimambi, ulikuwa ni mzigo wa Mzee Kimambi.

Huyu ndio kiumbe peke yake hapa duniani ndio Mange anaweza kumsikiliza na ndio mtu pekee anayemuheshimu.

Kwa jinsi serikali inavyojambishwa na kujiharishia ingekuwa na watu smart badala ya kutumia pesa nyingi sana wangetumia energy kidogo tu kupitia Dr Mwele Mange angekaa kimya, ila ndio hivyo tena serikali imejaa Mabashite hayana akili wala maarifa wanaamini katika mabavu tu kumbe hawajui unaweza kuizima tv kwa kutumia remoti bila hata kuonekana.
 
Salamu wakuu.
Yule mama mashuhuri ktk masuala ya kiafya, Dr. Mwele Malecela ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa WHO Africa.

Itakumbukwa huyu alitumbuliwa mchana kweupe baada ya kutoa ripoti kupitia taasisi aliyokuwa anaiongoza ya NIMR kusema kuna viashiria vya ugonjwa wa "zika".
Yeye aligoma kukanusha taarifa ile na ndipo JPM akamtumbua mchana kweupe mwaka 2016.

Baada ya muda aliteuliwa mkurugenzi WHO kanda ya maziwa makuu.

Sasa amepewa ukurugenzi WHO AFRICA nzima.

Kwa hiyo Tz ya Magufuli itabidi ipige hodi ofisini kwa mama Dr. Mwele ili kuwasilisha maombi yao yoyote yale hasa ktk miradi ya kiafya inayofadhiliwa na umoja wa Mataifa kupitia WHO na taasisi zake washirika.

...Huyu mama ni wa kipekee hakukana ripoti kama yule Prof. Assad na deni la taifa.

...Haya Tz mama Dr Mwele atatusaidia.

Kuna jambo la kujifunza hapo.

Nawasilisha..


Angalia maisha yako wewe snitch, son of a gun, haya tumesikia nenda basi kasherehekee na kesho Mutuz Posta!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom