KUTUMA MZIGO WA VIMIMINIKA USA

Pelly

Senior Member
Mar 26, 2013
117
91
Habari zenu wanajf
Nina mafuta ya urembo nataka kumtumia mteja wangu kwa njia ya bei nafuu, lakini nilipofika posta wakaniambia hawasafirisha aina yoyote ya kimiminika, nimeenda DHL bei niliyotajiwa nanunua mzigo mara mbili yake, je kuna mtu anajua au amewahisafirisha mzigo wa kimiminika zaidi ya DHL?
Asanteni
 
Habari zenu wanajf
Nina mafuta ya urembo nataka kumtumia mteja wangu kwa njia ya bei nafuu, lakini nilipofika posta wakaniambia hawasafirisha aina yoyote ya kimiminika, nimeenda DHL bei niliyotajiwa nanunua mzigo mara mbili yake, je kuna mtu anajua au amewahisafirisha mzigo wa kimiminika zaidi ya DHL?
Asanteni
Hizo ndio bei zao hakuna namna, sana sana labda uko kwenye yale Magroup ya facebook ya watu wa mbele wanao ishi Tz Ulizia anaye wnda USA hivi karibuni umpatoe aende nayo, hio peaa ya kutuma ubampatia yeye kama pesa ya shukurani, sema sasa lazoma ujuane nao, Arusha naonaga wanafanya hivyo sana
 
Habari zenu wanajf
Nina mafuta ya urembo nataka kumtumia mteja wangu kwa njia ya bei nafuu, lakini nilipofika posta wakaniambia hawasafirisha aina yoyote ya kimiminika, nimeenda DHL bei niliyotajiwa nanunua mzigo mara mbili yake, je kuna mtu anajua au amewahisafirisha mzigo wa kimiminika zaidi ya DHL?
Asanteni
Wingi kiasi gani, kama chupa, za ukubwa gani na ngapi? Nashauri, kama unamtumia MTz, ni afadhali umpe MTz anayeekelea huko anayefahamiana au kuweza kukutana na mteja wako.
 
Wingi kiasi gani, kama chupa, za ukubwa gani na ngapi? Nashauri, kama unamtumia MTz, ni afadhali umpe MTz anayeekelea huko anayefahamiana au kuweza kukutana na mteja wako.
Vichupa vidogo kama ukubwa wa double kiki au soda flusana, nilikuwa nawatumia watz sema sijwapata kwa sasa
 
Back
Top Bottom