Kutovaa chupi kuna faida lukuki

Kutovaa chupi kuna faida lukuki

Ulipozungumzia masuala ya sijui kuvaa chupi na mambo ya papuchi ndo kabisaa umeniamshia dudeeeee
 
Rafiki angu alipataga ajali ya bodaboda halafu kavaa dera na ndani hana chupi. Anasema ajali imetokea kuja kushtuka utupu wote uko nje. Wala hakujali watu kuona uchi wake maana alikua haamini kama kasalimika. Akinihadithiaga nacheka maana napata picha ilivyokua.
Unakuwa chukuchuku na hizi daladala na bodaboda tunazopanda jamani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom