Kutongoza ni sifa ya kiume

Nimeupenda sana huu uzi. Ni uhalisia
 
Kutongoza kuna raha yake ni uwezo wako wa kushawishi, sio kila mwanaume anajua kutongoza,kutongoza ni ujasiri, kutongoza ni kujiamini, naamini hata wanawake wanapenda kutongozwa dunia nzima.
 
Kutongoza kuna raha yake ni uwezo wako wa kushawishi, sio kila mwanaume anajua kutongoza,kutongoza ni ujasiri, kutongoza ni kujiamini, naamini hata wanawake wanapenda kutongozwa dunia nzima.
Wanaume siku hizi watongozi wengi wanatumia nguvu waliyonayo, pesa au urembo yaan mvutoo,
 
Wanaume siku hizi watongozi wengi wanatumia nguvu waliyonayo, pesa au urembo yaan mvutoo,
Mwanaume kutongoza ni sehemu ya maisha yake ni natural, kutongoza ni kushawishi, kushawishi ni kuongoza ikiwa mtongozwa ataelewa somo ni rahisi kuongozwa na kutawaliwa, strong woman huwezi mpata bila kumtongoza, imagine umekutana na mwanamke ametoka familia inayojiweza, kaenda shule, ana exposure, ana pesa, ni independent woman,anajiamini, atababaikia nini?!! utampataje kama kumtongoza huwezi, tuongee ukweli wanaume sisi wa siku hizi kutongoza ni shida uenda sababu ya teknolojia au ujasiri umepungua sana wengi utongozea kwenye simu, wakikutana game over!
Hawa waliotoka familia zenye changamoto au wanaoishi maisha yenye changamoto ni rahisi kubabaikia show-off za wanaume, mwanamke akiona mwanaume ana gari tu anachanganyikiwa.

Siku moja ijumaa natoka kazini nimempitia mshkaji wangu Mwanga Tower tunaenda mlimani Cinemax kucheki movie ile ya Kandahar ilikuwa ndio inaonyeshwa possibly ilikuwa tarehe 26 sijui ilikuwa May kitu kama hiko, binti katoka kazini nae jengo lile alipojirusha yule MC, akaomba lifti tukamwambia tunaishia mlimani akadai atashukia ifungila tulivyofika ifungila wakati anajiandaa kushuka akashukuru na kusema mna mioyo mizuri hata namba ya simu hamjaniomba, tukaishia kuangaliana na jamaa yangu...poor lady!
 
Ulishindwa kutumia u'naturally wa wanaume wa kutongoza tongoza, wanaume wa zamani akimuona demu yoyote mbele yake lazima amtongoze hata kama hamli, sasa ww umewaangusha mabahari hadi demu kajisemea mwenyewe kwa kuwashangaa nyie wanaume wa wapi
 
Imenikuta juzi hi kitu aloo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Pole sana maana kutongoza saiv kama wajipotezea mda wako tu Kati upo seriously mwezio anawaza maokoto aka mwagilie moyo๐Ÿ˜‚
 
Pole sana maana kutongoza saiv kama wajipotezea mda wako tu Kati upo seriously mwezio anawaza maokoto aka mwagilie moyo๐Ÿ˜‚
Ngeweka ile screenshot hapa sema nahisi yupp humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ