- Thread starter
- #61
Siku hizi siku moja ya pili unapewa miunoKutongozana mwisho miaka mingapi?
Napata Raha nikiingia nisipokua na bando ukiwa unajaaa😂🙄😂Sana aisee.![]()
Dunia imebadirikaSiku hizi siku moja ya pili unapewa miuno
Sanaa hata siku hiyo uroda unapewa inategemea na mdomo wako tuu na uso wako unavyoonekana,Dunia imebadirika
Watoto wa kirokore huwezi kula siku iyoiyo ila unabipigwa gundi kidogoSanaa hata siku hiyo uroda unapewa inategemea na mdomo wako tuu na uso wako unavyoonekana,
ChingeresaAfadhali, humble to see this....kudos mkuu
Nikilewa nawezaChingeresa

😂😂😂Uko vizur Kwa kwer vp kwa ambao wamekimbia umandeNikilewa naweza![]()
Kumbe nipo katka mfumo ubarkiwe chief 😂Aliekuambia kutongoza ni sifa ya kiume ni nani? Mwanaume aliekamilika, asie na sifa mbaya kwa maana si mhuni wa kilevi chochote+zinaa, huyu ndio mwanaume haswaa/RIJALI الرجال
Kumbe nipo katka mfumo ubarkiwe chief 😂
huyo atakaye funga nae ndoa utampataje? mzeeAliekuambia kutongoza ni sifa ya kiume ni nani? Mwanaume aliekamilika, asie na sifa mbaya kwa maana si mhuni wa kilevi chochote+zinaa, huyu ndio mwanaume haswaa/RIJALI الرجال
Mwoga wakutongoza mie cjui imewezekanaje😂😂😂Wewe ndio mwanaume sasa, you are perfect
Ni passion tu mkuu wala havihusani na shule kiivyoUko vizur Kwa kwer vp kwa ambao wamekimbia umande
huyo atakaye funga nae ndoa utampataje? mzee
😂😂😂😂Ahaaaa kumbe basi twende ki passion passion au vpNi passion tu mkuu wala havihusani na shule kiivyo
Hii imeendaAhaaaa kumbe basi twende ki passion passion au vp