sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Hii ni habari ya kutisha ndani ya mwezi mmoja wanawake wa makamo wamekamatwa mkoani Kilimanjaro wilaya ya Moshi Kwa makosa ya kutorosha watoto wa kiume kutoka mikoa mbalimbali ikiwemo wengi kutoka Kanda ya ziwa Kwa ajili ya kuwaajili wafanye kazi ya kukatia majani mbuzi na ng'ombe BAADA ya wao kushindwa kuzaa watoto wa kutosha Kwa sababu mbalimbali
Mkazi mmoja wa Kijiji Cha Marangu,amesema wakina mama wa kichaga wengi wao siku hizi hawazai kabisa jambo linalopelekea mkoa kuwa na vijana wachache huku waliopo wakiwa walevi wa pure na mirungi hiki wakikabiliwa na uskosefu wa nguvu za kiume Kwa sababu za matumizi ya vilevi.
Mkazi hiyo alienda mbali na kudai yakuwa wakina mama wengi hawazai hata waume wao nao wamekuwa walevi kupitiliza, watoto wao wao wa kiume ndo balaa jambo linalo pelekea hata kukosa. Nguvu kazi ya kufanya kazi kupelekea wakina mama wengi kujiusisha na wizi WA vijana wa kufanya kazi kutoka mikoa mbalimbali wengi wakitoka Kanda ya ziwa.
''Juzi tu hapa kakamatwa mama Kwa kumtorosha mtoto wa Darasa la sita Jana Tena na Leo Tena"anaelezea ndugu mmoja ambae hakuwa Tyr jina lake litajwe hapa
Angalizo tatizo la nguvu za kiume Kwa Kilimanjaro ni kubwa kuliko tunavyowaona wakina mango huko mikoa mingine serikali ihingilie kati ni aibu.
Mkazi mmoja wa Kijiji Cha Marangu,amesema wakina mama wa kichaga wengi wao siku hizi hawazai kabisa jambo linalopelekea mkoa kuwa na vijana wachache huku waliopo wakiwa walevi wa pure na mirungi hiki wakikabiliwa na uskosefu wa nguvu za kiume Kwa sababu za matumizi ya vilevi.
Mkazi hiyo alienda mbali na kudai yakuwa wakina mama wengi hawazai hata waume wao nao wamekuwa walevi kupitiliza, watoto wao wao wa kiume ndo balaa jambo linalo pelekea hata kukosa. Nguvu kazi ya kufanya kazi kupelekea wakina mama wengi kujiusisha na wizi WA vijana wa kufanya kazi kutoka mikoa mbalimbali wengi wakitoka Kanda ya ziwa.
''Juzi tu hapa kakamatwa mama Kwa kumtorosha mtoto wa Darasa la sita Jana Tena na Leo Tena"anaelezea ndugu mmoja ambae hakuwa Tyr jina lake litajwe hapa
Angalizo tatizo la nguvu za kiume Kwa Kilimanjaro ni kubwa kuliko tunavyowaona wakina mango huko mikoa mingine serikali ihingilie kati ni aibu.