Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Wanaigeria siku hizi wana Soko Sana kwa Dada zetu Sijui kwa nini.. Kuna Mmoja tulimpeleka Mwanza kufanya kazi kwenye Moja ya Branch Yetu Mkataba umeisha hataki kutoka tena na Kurudi kwao Nigeria, Kisa kapata ukarimu wa Vyote Maisha na Mwanamke-- Du Dada Zetu Kwa kujiongeza