IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,821
Hizo story nzuri za kisayansi andika wewe sasa, yeye kaleta uzi wake kuhusu hiyo kasoro ya huyo waziri, na wala hajakukaribisha kwenye uzi wake, ni kiherehere chako tuu umevaa dera na kuuvamia uzi wake huku ukijifanya mjuaji. Shusha uzi wako uweke mapambio kama yote badala ya kudandia nyuzi za watu.Huna jambo jingine zuri la kuzungumzia zaidi ya kutafuta makosa ya viongozi ili usikie wakitumbuliwa? Huo mimi binafsi ninauita umasikini wa akili. Wewe ni kiumbe mfu na mzigo kwa Taifa letu. Ningekushauri jichimbie mwenyewe kaburu ujizike.
Lete Story nzuri kuhusu sayansi ya leo ili vijana wetu wasisimue ubongo wao badala ya kuspeculate mambo ya kike ambayo hayana tija. Kwani ulisikia Professor Kabudi ni robotor ambayo ikiwa programed inafanya kazi tu bila kukosea? Kama binadam kwanini asikosee? Kama kweli kuna kosa kwenye hotuba yake ya jana.
Mbali na hayo huyo mtumbuaji wako yeye ni mungu? Naye hafanyi makosa? Usipende ku m-demonize Rais wetu kana kwamba yeye hana soul.