Kutokana na matamshi yake, Prof. Kabudi ataondolewa Wizara ya Mambo ya Nje kama ilivyokuwa kwa Mkurugenzi wa SSRA kutokana na issue ya Kikokotoo

Ila kabudi hyo wizara imemshinda uwezo na akili kulikuwa Kuna haja gani kuwaita hao wabunge wa EU wapuuzi wakati EU michango yake kwa taifa ni muhimu, ni Bora hyo wizara ingempata January Makamba naona anafaa ana exposure flani hivi.
Tena ni wapuuzi kwelikweli.Usidhani eti kwa kuwa ni wabunge wa EU hawawezi kuwa wapuuzi.Wale ni binaadamu tunatofautiana rangi tu.Eti kwa sababu wanatoa misaada ndiyo wachukue na utu wetu.Kwa staili hiyo pamoja na hiyo misaada yao hawana adabu.
 
Tena ni wapuuzi kwelikweli.Usidhani eti kwa kuwa ni wabunge wa EU hawawezi kuwa wapuuzi.Wale ni binaadamu tunatofautiana rangi tu.Eti kwa sababu wanatoa misaada ndiyo wachukue na utu wetu.Kwa staili hiyo pamoja na hiyo misaada yao hawana adabu.
Unatukana mkono unaokulisha sio, mtu anakupata misaada mingi bado mnawatukana kwanini msitumie uugwana maana masharti yao mojawapo ni democracy that's why wanatoa hyo condition.
Sasa wasipotoa hyo misaada raia maskini ndio wanaoumia Raisi na wenye vyeo vyao hawatapata ugumu wa maisha, tusitake kurudi enzi za nyerere ambapo umaskini ulikithiri kisa umaskini jeuri na kutukana mataifa makubwa, china yenyewe inatafta support na foreign investment huku Tanzania tusio na mbele Wala nyuma kuwatukana
 
Huna jambo jingine zuri la kuzungumzia zaidi ya kutafuta makosa ya viongozi ili usikie wakitumbuliwa? Huo mimi binafsi ninauita umasikini wa akili. Wewe ni kiumbe mfu na mzigo kwa Taifa letu. Ningekushauri jichimbie mwenyewe kaburu ujizike.

Lete Story nzuri kuhusu sayansi ya leo ili vijana wetu wasisimue ubongo wao badala ya kuspeculate mambo ya kike ambayo hayana tija. Kwani ulisikia Professor Kabudi ni robotor ambayo ikiwa programed inafanya kazi tu bila kukosea? Kama binadam kwanini asikosee? Kama kweli kuna kosa kwenye hotuba yake ya jana.

Mbali na hayo huyo mtumbuaji wako yeye ni mungu? Naye hafanyi makosa? Usipende ku m-demonize Rais wetu kana kwamba yeye hana soul.
Kwanini hiyo story ya sayansi usiilete wewe?
 
Kabudi ni hamnazo. Amewekwa pale kama mwana diplomasia ili kuweka mambo sawa, yeye anakwenda kupenga makamasi wakati watu wana dine na kuchafua hali ya hewa huku akiharibu appetite za watu.

Miaka hii analeta mambo ya Kigangwe!
Kabudi ataondolewa bila shaka, ameongea vague against EU. JPM atapanga strategy na atakayewekwa kwenye wizara hiyo ya kuomba kukaa meza moja na Jumuiya ya Kimataifa ikiwemo EU ili kunusuru mambo.
 
Huu si ndiyo mchango wako wa mada iliyotolewa? Nimi nimekujibu accordingly. Sasa inakuwaje mimi niko out of the context? Ukifuatilia mazungumzo ya hiyo kamati ya Bunge lako tukufu la Ulaya utaona mchangiajia hoja mmoja wapo mkubwa kwenye huo mjadala wa hiyo kamati alikuwa Penner mmoja wa kutoka chama cha CDU cha ujerumani na yeye wewe ndiyo unamwona amechangia hoja ya maana sana kiasi kwamba matamshi ya waziri wako wa mambo ya nchi za nje unamwona ameshindwa kazi yake.
Na ndiyo maana nika kuambia kuwa huyu ni Penner, kwani hata kupiga meno mswaki hajui na mtu yuko Ulaya.
Lakini kwa mkoma kama wewe unaona sawa maadam ni mzungu. Nyie ni washamba sana na malimbukeni wa wazungu.
umeeleza kwa kirefu saaana lkn mantiki na hotuba ya huyo jamaa wa CDU hujaiweka, mm nahisi hakuwepo, ila Mwenyekiti mwenyewe wa Kamati ya Mambo ya Nje wa Bunge hilo Dkt David McAllisster
alihoji Tanzania imepewa pesa za Corona wakati wao walisali siku 3 wakasma imeisha pesa wametumia kwa kazi gani na kuminywa kwa Demokrasia?
sisi tunatetea mengine kabisa na mleta Mada kasema Waziri wa Mambo ya nje atafukuzwa
sasa Mada na ukweli ni upi tunaoutetea? nimekuwekea Link rahisi inayosomeka wakati nikikutafutia
Msaada wa Euro Milioni 27 ambao Tanzania ilipokea mapema mwaka huu kutoka Umoja wa Ulaya (EU) kukabiliana na athari za corona umezua mjadala katika Bunge la Umoja huo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje wa Bunge hilo Dkt David McAllisster
alihoji ni vigezo gani vilitumiwa na uongozi wa EU kutoa msaada kwa Tanzania ambayo ameituhumu kwa kutokuwa wazi juu ya taarifa za corona na kutofuata miongozo ya Shirika la Afya Duniani (WHO).
"Ninapata wakati mgumu kwamba tunatoa fedha kwa Tanzania ambayo haifuati kanuni za WHO, serikali haina ushirikiano...
Nataka kujua vigezo na taratibu zilizotumika kutoa fedha, kufanya nini na zimetumikaje?" alieleza Dk McAllister ambaye alitoa saa 48 (kuanzia jana asubuhi) kupata majibu kutoka maafisa wa EU.
Mwenyekiti huyo pia aligusia juu ya kuminywa kwa haki za binadamu na kutaka EU na washirika wake wahakikishe watetezi wa haki za binadamu wanalindwa Tanzania.
 
Wataharibu wenyewe na baadaye watawalaumu wapinzani! Kabudi alitakiwa kujibu tu hoja ya mamilioni ya Euro walizopewa kwa ajili ya corona soko wapi!!
Hawa jamaa pesa wanatoa sana kwa ajili ya COVID-19 lakini matumizi hawataki kuyaweka bayana wala kukiri ugonjwa haupo
Tanzania Daily News (Dar es Salaam)
THE European Union (EU) is ready to offer Tanzania 27million Euros (about 70bn/) to support measures taken by the country to mitigate negative effects of the Covid-19 pandemic
EU Council president Charles Michel made the commitment yesterday at the EU headquarters in Brussels, when receiving diplomatic credentials for Tanzania's Ambassador to Belgium, who is also Tanzania's representative to the European Union, Ambassador Jestas Nyamanga.
Mr Michel applauded Tanzania for waging a successful war against the Covid-19 pandemic, which has killed over 900,000 people globally and expressed the EU's readiness to back up the country's initiatives in the health sector.
 
Unatukana mkono unaokulisha sio, mtu anakupata misaada mingi bado mnawatukana kwanini msitumie uugwana maana masharti yao mojawapo ni democracy that's why wanatoa hyo condition.
Sasa wasipotoa hyo misaada raia maskini ndio wanaoumia Raisi na wenye vyeo vyao hawatapata ugumu wa maisha, tusitake kurudi enzi za nyerere ambapo umaskini ulikithiri kisa umaskini jeuri na kutukana mataifa makubwa, china yenyewe inatafta support na foreign investment huku Tanzania tusio na mbele Wala nyuma kuwatukana
Umejitahidi
 
Kabudi ahata anavyoongea unagundua pasi na shaka kuwa huyu mtu sio mwanadiplomasia kabisa na hafai ktk wizara hiyo. RIP Komredi A. Mahiga
 
Wewe ndo pumbavu sana,
Ni wajibu wa kila mwananchi wa nchi yoyote duniani kuchunguza makosa ya viongozi wake
Sisi ndiyo tumewajiri,tunawalipa mishahara minono.
Hatuwez kuchunguza mema yanayofanywa nao kwakuwa hayo ndiyo tuliyowatu kuyafanya.
Pumbavu sana wewe
Kwanza umetokea wapi wewe
 
Watakaoumia ni wanyonge!
18901234.jpg
 
Wewe ndo pumbavu sana,
Ni wajibu wa kila mwananchi wa nchi yoyote duniani kuchunguza makosa ya viongozi wake
Sisi ndiyo tumewajiri,tunawalipa mishahara minono.
Hatuwez kuchunguza mema yanayofanywa nao kwakuwa hayo ndiyo tuliyowatu kuyafanya.
Pumbavu sana wewe
Kwanza umetokea wapi wewe
 
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu unyanyasaji uonevu wizi ufisadi wa CCM ndipo hugeuka na kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike
Ubebeberu=Imperialism;
Ubepari=capitalism.

Tatizo nyie mnachukulia kama "beberu" la mbuzi wa kiume. Ubeberu ni neno lenye kuashiria nguvu na mamlaka ya hali ya juu sana kiuchumi, ni sifa ya pekee sana kwenye maswala ya uchumi na utawala wa kisiasa duniani. Kalagabaho!

wa hapahapa

 
Kwa yale maneno yake ya jana nimeshangaa yaan kweli kusoma sio kuelimika bali kupata kazi na Kabudu amethibitisha hilo.

Mnaulizwa kuhusu ufisadi wa Kula hela za watu alitakiwa amjib kuhusu euro million 27 zimetumikaje yeye anenda kuparangaparanga maneno kama anatoka kutoa mzigo chooni.

Yaan utapeli hela za watu wenyewe hata wasiulize huo utakuwa ujinga wa kiwango cha juu.
Hizo kelele za Mhe Kabundi ni kiashiria kuwa 'mahera' ya 'mabeberu' yameliwa kusiko. Ila kichekesho ni kuwa hiyo vita asemayo Kabundi nani anaenzisha?
Nyerere alikuwa na msimamo imara sana lakini ni wa kukataa kupokea misaada yenye masharti. Kamwe hakuwa anakataa kutoa maelezo ya mahela nchi iliyoyaomba na kupokea.
Hata hivyo hali ilivyozidi kuwa mbaya kwa watz alikuja akajishusha, mipaka na majirani ikafunguliwa na bidhaa muhimu zikaanza kuingia (Sokoine 1983). Pia nchi ikakubali baadhi ya marsharti na mihela kutoka IMF, WB na 'mabeberu' wengine ikaingia.
Nae kama muungwana akatangaza kuung'atuka, huku akiwashauri wale aliokuwa nao kwa muda mrefu pia wang'atuke nae.
 
Hizo kelele za Mhe Kabundi ni kiashiria kuwa 'mahera' ya 'mabeberu' yameliwa kusiko. Ila kichekesho ni kuwa hiyo vita asemayo Kabundi nani anaenzisha?
Nyerere alikuwa na msimamo imara sana lakini ni wa kukataa kupokea misaada yenye masharti. Kamwe hakuwa anakataa kutoa maelezo ya mahela nchi iliyoyaomba na kupokea.
Hata hivyo hali ilivyozidi kuwa mbaya kwa watz alikuja akajishusha, mipaka na majirani ikafunguliwa na bidhaa muhimu zikaanza kuingia (Sokoine 1983). Pia nchi ikakubali baadhi ya marsharti na mihela kutoka IMF, WB na 'mabeberu' wengine ikaingia.
Nae kama muungwana akatangaza kuung'atuka, huku akiwashauri wale aliokuwa nao kwa muda mrefu pia wang'atuke nae.
Kweli kabisa
 
Prof Kabudi ni mtaalamu na bingwa, asiye na mfano katika Taifa hili, kuhusu masuala uliyoyataja. Hivyo basi Mkuu Salary Slip utaomba dua sana na kusubiri zijibiwe bila mafanikio.

Labda umesahau mapema tu, kwamba ulijiaminishi hao viongozi wako, wanasiasa uchwara kwa kuwa hawakusoma nyakati, watashinda katika Uchaguzi Mkuu, matokeo yake wakashindwa vibaya.
muwe mnatumia hata akili kidogo kufikiri hii itasaidia nchi
 
Hizo story nzuri za kisayansi andika wewe sasa, yeye kaleta uzi wake kuhusu hiyo kasoro ya huyo waziri, na wala hajakukaribisha kwenye uzi wake, ni kiherehere chako tuu umevaa dera na kuuvamia uzi wake huku ukijifanya mjuaji. Shusha uzi wako uweke mapambio kama yote badala ya kudandia nyuzi za watu.
Kafie mbali falah wewe. Hujui hata kitu gani unachochangia. Potezea mnali na fikra zako za kingumbaru. Majuha mnashida.
 
Kabudi ati naye ni profesa, ajabu sana! Ukimuamgalia tu uwezo wa kufikiri ni Ooo.
 
You guys sold this country to the highest bidder, na ni tabia ya ma fascist kutafuta fall guy, they are looking for someone to put blames on..Jifokirie kikokotoo kinaweza enda hewan kabla taarifa hazijafika ofisi ya rais ??? sio kweli
 
Back
Top Bottom