Kutokana na matamshi yake, Prof. Kabudi ataondolewa Wizara ya Mambo ya Nje kama ilivyokuwa kwa Mkurugenzi wa SSRA kutokana na issue ya Kikokotoo

Kwa yale maneno yake ya jana nimeshangaa yaan kweli kusoma sio kuelimika bali kupata kazi na Kabudu amethibitisha hilo
Mnaulizwa kuhusu ufisadi wa Kula hela za watu alitakiwa amjib kuhusu euro million 27 zimetumikaje yeye anenda kuparangaparanga maneno kama anatoka kutoa mzigo chooni
Yaan utapeli hela za watu wenyewe hata wasiulize huo utakuwa ujinga wa kiwango cha juu

Inasikitisha zaidi Ile kauli yake ya kwamaba Tz haijawahi kushindwa vita, Mwl nyerere alirudisha msaada UK.... Alafu anawaomba wakae wajadili...!

Shida wameshakalili vita vya uchumi... Kauli inayoaminishwa kwa jamii kwa jina baya mabeberu...
Hapo hapo wakishakaa meza moja wanawahita wahisani...
 
Kama ambavyo yule mama aliekuwa Mkurugenzi wa SSRA alivyoendolewa katika nafasi yake kutokana na issue ya kikokotoo, ndivyo hivyo Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Kabudi atavyoweza kuondolewa kwenye hiyo wizara kutokana na matamshi yake juu ya wabunge wa Bunge la Ulaya.

Kama ambavyo sitaki kuamini yule mama aliekuwa boss wa SSRA alifanya maamuzi yale bila baraka za wakubwa, ndivyo ambavyo sitakuwa tayari kuamini Prof. Kabudi kaongea aliyoyaongea bila baraka za wakubwa wake, ila kama alivyopigwa chini yule mama, ndivyo ambavyo hata Prof. Kabudi nae anaweza kupigwa chini.

Kwa sasa ninahakika mzee Baba atakuwa anasoma upepo na akiona unavuma vibaya, basi ni swala la muda tu kabla hatujaona Msigwa akija na Press release ya mtu kutenguliwa ingawa bado anaweza kupewa wizara nyingine baraza kamili litapotangazwa.

Hata hivyo, kwa siku hizi za mwanzo, msishangae Mzee Baba nae akaja na kauli kama za msaidizi wake, ila moto ukiwaka, atageuka na ataanza kwa kumtoa huyo msaidizi wake katika hiyo nafasi.

Kwahiyo hapa tutegemee scenario mbili: moja ni Kabudi kuondolewa kulingana na upepo utavyovuma, na scenario ya pili ni boss wake kuja kupigilia msumari matamshi ya Kabudi na baadae kugeuka na kuchukua hatua iwapo bwana wakubwa hawa watakuja juu. Ni swala la muda tu kabla haya hayajatimia.

Yakitokea kama navyotabiri, hawa MATAGA ambao leo hii wanamshangilia Kabudi, ndio watakuwa wa kwanza kumpongeza Mzee Baba na kuanza kamponda Kabudi.

Kabla sijamaliza, naomba niwape na scenario ya tatu: Kabla jua halijazama, Kabudi anaweza kujitokeza hadharani na kusema amenukuliwa vibaya ingawa hii haitamsaidia litapokuja swala la kutolewa mbuzi wa kafara.

Time will tell.
Huwa wakati mwingine huwa nawaza tu kuwa waandika haya yote ukiwa umekwea mti umepanda hadi juu kabisa waangalia chini huku waandika.
 
Inasikitisha zaidi Ile kauli yake ya kwamaba Tz haijawahi kushindwa vita, Mwl nyerere alirudisha msaada UK.... Alafu anawaomba wakae wajadili...!

Shida wameshakalili vita vya uchumi... Kauli inayoaminishwa kwa jamii kwa jina baya mabeberu...
Hapo hapo wakishakaa meza moja wanawahita wahisani...
Nadhani hujamwelewa vizuri Dkt. JPM na timu yake makini. Tanzania hii siyo tena ile ya zamani ya kuonewa na kugeuzwageuzwa kama samaki wa kubanikwa; sasa mwendo ni wa kula sahani moja na wazushi & wabagazaji wa nchi yetu. Nchi kama Marekani ukiisema tu kwenye official news outlet, jiandae kubananishwa kama taarifa yako ina tashwishwi wasiyoipenda.
 
Amewaita bunge la EU watu wahuni wachache., natamani hii kauli waipate wale mabeberu wanaoenda wakipigiwa magoti
Mbona jina lao kamili hilo??? Uhuni ni tabia yao maana pesa wametoa wao Septemba, leo wanahojije kwamba zilikuwa ni za nini??? Walikuwa wamesinzia wakati wanazitoa, au??? Huo ndio uhuni wenyewe!
 
Huu si ndiyo mchango wako wa mada iliyotolewa? Nimi nimekujibu accordingly. Sasa inakuwaje mimi niko out of the context? Ukifuatilia mazungumzo ya hiyo kamati ya Bunge lako tukufu la Ulaya utaona mchangiajia hoja mmoja wapo mkubwa kwenye huo mjadala wa hiyo kamati alikuwa Penner mmoja wa kutoka chama cha CDU cha ujerumani na yeye wewe ndiyo unamwona amechangia hoja ya maana sana kiasi kwamba matamshi ya waziri wako wa mambo ya nchi za nje unamwona ameshindwa kazi yake.

Na ndiyo maana nimekuuliza kama umesha mwona huyo mchangiaji wa hoja wa kutoka hicho chama cha CDU cha ujerumani anavyo onekana? Kwa watu walio au wanaoishi ujerumani na kuwajua wajerumani walivyo, appearance ya huyu politician inaonyesha moja kwa moja kuwa ni Penner.

Kama huwajui wajerumani walivyo ningekushauri ukae kimya kwani unadandia mabasi ambayo hayakupeleki unakotaka kwenda. Hii itakuwa ngumu sana kwako ku argue na watu wenye kuwajua hao wahuni.
View attachment 1632126
Na ndiyo maana nika kuambia kuwa huyu ni Penner, kwani hata kupiga meno mswaki hajui na mtu yuko Ulaya.

Lakini kwa mkoma kama wewe unaona sawa maadam ni mzungu. Nyie ni washamba sana na malimbukeni wa wazungu.
Asante Asante
 
Arudi chuo kibabu kabudi anayezeeka vibaya na kuwa mropokaji kama mvuta Bangi
Umetaja "kuvuta bangi" vipi wewe ni mshirika maana bandiko zako zinaakisi mtu wa aina hiyo. Unahitaji kujisalimisha kwenye huduma ya hao watu (rehabilitation centre) kabla hujachanganyikiwa kabisa
 
Mbona jina lao kamili hilo??? Uhuni ni tabia yao maana pesa wametoa wao Septemba, leo wanahojije kwamba zilikuwa ni za nini??? Walikuwa wamesinzia wakati wanazitoa, au??? Huo ndio uhuni wenyewe!
Buku 7 unazopata kwa mwezi ndio zinawapa kiburi, angalia leo na kesho hutakuwa na thaman yeyote, wanaoumia ndugu zak watanzania, hawo wafadhili wanakuchangieni mpaka rula na penseli za kuandikia watoto wenu mashuleni achilia mbali vikalio na mishahara yenu pamoja na hayo majengo ya shule
 
Wataharibu wenyewe na baadaye watawalaumu wapinzani! Kabudi alitakiwa kujibu tu hoja ya mamilioni ya Euro walizopewa kwa ajili ya corona soko wapi!!
 
Kama ambavyo yule mama aliekuwa Mkurugenzi wa SSRA alivyoendolewa katika nafasi yake kutokana na issue ya kikokotoo, ndivyo hivyo Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Kabudi atavyoweza kuondolewa kwenye hiyo wizara kutokana na matamshi yake juu ya wabunge wa Bunge la Ulaya.

Kama ambavyo sitaki kuamini yule mama aliekuwa boss wa SSRA alifanya maamuzi yale bila baraka za wakubwa, ndivyo ambavyo sitakuwa tayari kuamini Prof. Kabudi kaongea aliyoyaongea bila baraka za wakubwa wake, ila kama alivyopigwa chini yule mama, ndivyo ambavyo hata Prof. Kabudi nae anaweza kupigwa chini.

Kwa sasa ninahakika mzee Baba atakuwa anasoma upepo na akiona unavuma vibaya, basi ni swala la muda tu kabla hatujaona Msigwa akija na Press release ya mtu kutenguliwa ingawa bado anaweza kupewa wizara nyingine baraza kamili litapotangazwa.

Hata hivyo, kwa siku hizi za mwanzo, msishangae Mzee Baba nae akaja na kauli kama za msaidizi wake, ila moto ukiwaka, atageuka na ataanza kwa kumtoa huyo msaidizi wake katika hiyo nafasi.

Kwahiyo hapa tutegemee scenario mbili: moja ni Kabudi kuondolewa kulingana na upepo utavyovuma, na scenario ya pili ni boss wake kuja kupigilia msumari matamshi ya Kabudi na baadae kugeuka na kuchukua hatua iwapo bwana wakubwa hawa watakuja juu. Ni swala la muda tu kabla haya hayajatimia.

Yakitokea kama navyotabiri, hawa MATAGA ambao leo hii wanamshangilia Kabudi, ndio watakuwa wa kwanza kumpongeza Mzee Baba na kuanza kamponda Kabudi.

Kabla sijamaliza, naomba niwape na scenario ya tatu: Kabla jua halijazama, Kabudi anaweza kujitokeza hadharani na kusema amenukuliwa vibaya ingawa hii haitamsaidia litapokuja swala la kutolewa mbuzi wa kafara.

Time will tell.
Hakuna hata siku moja kwenye mambo elfu unayoshinda humu kuandika lililotokea hata moja. Elewa hujui uchambuzi labda yale mambo ya faragha uliyofundishwa
 
Mfano wako haufananani yule mama wa ssra hakukurupuka ila alitolewa kafara baada ya wabunge na vyama vya wafanyakazi kuhoji lakini tangia aondolewe umeshajiuliza kwanini watu wakistaafu, kuacha kazi au kuachishwa hawapati pensheni zao au kwanini serikali haikupeleka mswada wa kubatilisha wale waliyopitisha juu ya mafao ya wafanyakazi.
 
Kabla sijamaliza, naomba niwape na scenario ya tatu: Kabla jua halijazama, Kabudi anaweza kujitokeza hadharani na kusema amenukuliwa vibaya ingawa hii haitamsaidia litapokuja swala la kutolewa mbuzi wa kafara.
Kwani da mange kasemaje
 
Kabudi ni hamnazo. Amewekwa pale kama mwana diplomasia ili kuweka mambo sawa, yeye anakwenda kupenga makamasi wakati watu wana dine na kuchafua hali ya hewa huku akiharibu appetite za watu.

Miaka hii analeta mambo ya Kigangwe!
Paramagamba Sindano imeanza kuingia shikilia hapohapo. Hii habari angekuwa ndo yupo Mzee wa dakika ya 89, nikisaini wino mwekundu pale uwanja wa Taifa sijui Mabalozi wa watokako waliochallenge Mambo ya kutengenezwa na Wapiga dili woote wangekuwa wamerudishwa kwao.
 
Tokea ile hotuba ya huyu professor aliyoitoa wakati fulani kule kenya kweli nilijua kisomo chake alikiacha kwenye majengo au maabara za udsm yeye akaondoka kama yeye.
 
Kabudi ni hamnazo. Amewekwa pale kama mwana diplomasia ili kuweka mambo sawa, yeye anakwenda kupenga makamasi wakati watu wana dine na kuchafua hali ya hewa huku akiharibu appetite za watu.

Miaka hii analeta mambo ya Kigangwe!
Nakaza hapa
 
Fedha za nyumba ni Choo ni za wafadhili, chanjo zote za watoto ni msaada ya wa fadhili, Pesa za Tasaf, vidonge vya kufubaza virusi(ARVs) , mikopo na misaada yao kwenye bajeti aslimia 60, Vyandarua vya mbu, vyote hivi hatuvitaki au sio kabudi.

Babiani mbaya lakini................
 
Kama ambavyo yule mama aliekuwa Mkurugenzi wa SSRA alivyoendolewa katika nafasi yake kutokana na issue ya kikokotoo, ndivyo hivyo Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Kabudi atavyoweza kuondolewa kwenye hiyo wizara kutokana na matamshi yake juu ya wabunge wa Bunge la Ulaya.

Kama ambavyo sitaki kuamini yule mama aliekuwa boss wa SSRA alifanya maamuzi yale bila baraka za wakubwa, ndivyo ambavyo sitakuwa tayari kuamini Prof. Kabudi kaongea aliyoyaongea bila baraka za wakubwa wake, ila kama alivyopigwa chini yule mama, ndivyo ambavyo hata Prof. Kabudi nae anaweza kupigwa chini.

Kwa sasa ninahakika mzee Baba atakuwa anasoma upepo na akiona unavuma vibaya, basi ni swala la muda tu kabla hatujaona Msigwa akija na Press release ya mtu kutenguliwa ingawa bado anaweza kupewa wizara nyingine baraza kamili litapotangazwa.

Hata hivyo, kwa siku hizi za mwanzo, msishangae Mzee Baba nae akaja na kauli kama za msaidizi wake, ila moto ukiwaka, atageuka na ataanza kwa kumtoa huyo msaidizi wake katika hiyo nafasi.

Kwahiyo hapa tutegemee scenario mbili: moja ni Kabudi kuondolewa kulingana na upepo utavyovuma, na scenario ya pili ni boss wake kuja kupigilia msumari matamshi ya Kabudi na baadae kugeuka na kuchukua hatua iwapo bwana wakubwa hawa watakuja juu. Ni swala la muda tu kabla haya hayajatimia.

Yakitokea kama navyotabiri, hawa MATAGA ambao leo hii wanamshangilia Kabudi, ndio watakuwa wa kwanza kumpongeza Mzee Baba na kuanza kamponda Kabudi.

Kabla sijamaliza, naomba niwape na scenario ya tatu: Kabla jua halijazama, Kabudi anaweza kujitokeza hadharani na kusema amenukuliwa vibaya ingawa hii haitamsaidia litapokuja swala la kutolewa mbuzi wa kafara.

Time will tell.
Yes, time will tell; but he has all the support from the employer.
 
Back
Top Bottom