mak89
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 1,072
- 914
Natanguliza salamu kwa wana jamvi wenzangu,
Kuna mama hapa mtaani kwetu ana mahusiano ya kimapenzi na rafiki yetu mmoja, baada ya kumuweka chini huyu rafiki yetu kumtaka aachane na huyu mama anasema eti mama anasema huwa hafikishi na mumewe kwahiyo huwa anataka huduma karibia kila siku na ukizingatia mama kazi yake ni kusimamia miradi ya familia na muda mwingi yupo huru na ndo ana tumia ku-mingle na kijana.
Huyu mama yupo kwenye ndoa na mumewe kwa takribani miaka kama ishirini hivi na ana watoto wapo sekondari, hivi kwanini ameshindwa kumueleza mumewe kama hafurahii tendo? Huyu jamaa tumeshauri inaonekana ni "stiffnecked" jamani naombeni ushauri wa mwisho kwa huyu jamaa yasije yakamkuta mwengine.
NOTE
Huyu jamaa nae hajatuli kabisa.
Kuna mama hapa mtaani kwetu ana mahusiano ya kimapenzi na rafiki yetu mmoja, baada ya kumuweka chini huyu rafiki yetu kumtaka aachane na huyu mama anasema eti mama anasema huwa hafikishi na mumewe kwahiyo huwa anataka huduma karibia kila siku na ukizingatia mama kazi yake ni kusimamia miradi ya familia na muda mwingi yupo huru na ndo ana tumia ku-mingle na kijana.
Huyu mama yupo kwenye ndoa na mumewe kwa takribani miaka kama ishirini hivi na ana watoto wapo sekondari, hivi kwanini ameshindwa kumueleza mumewe kama hafurahii tendo? Huyu jamaa tumeshauri inaonekana ni "stiffnecked" jamani naombeni ushauri wa mwisho kwa huyu jamaa yasije yakamkuta mwengine.
NOTE
Huyu jamaa nae hajatuli kabisa.