Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,299
- 283,265
hivi jk sindio aliempa huyo zito hayo maraka sasa zito anaubavu gan wa kumzuru jk na pinda kisiasa ilihari ndio mabosi wake hiki ni kiinimacho
una macho yenye darubini .
hivi jk sindio aliempa huyo zito hayo maraka sasa zito anaubavu gan wa kumzuru jk na pinda kisiasa ilihari ndio mabosi wake hiki ni kiinimacho
una macho yenye darubini .
...penalt hii itakua mpira wa kurushwa...Kwa jinsi Hamasa ya huu mchezo ulivyo naona dhahiri Zitto Kabwe akipaisha hii penalt Au kuigongesha mwamba na ushindi uende pasipotarajiwa..........binafsi nimekaa moyo unadunda Zitto atatutoa kimasomaso Au kichwa ChiNi? Nasubiria hiyo Siku.
Zitto afanikiwe asifanikiwe bado ni mtu wa kupigiwa mfano katika Taifa hili.
aliyeshindwa kichuguu ( majina ya uswisi ) ataweza mlima ( escrow) ?
Kwa jinsi Hamasa ya huu mchezo ulivyo naona dhahiri Zitto Kabwe akipaisha hii penalt Au kuigongesha mwamba na ushindi uende pasipotarajiwa..........binafsi nimekaa moyo unadunda Zitto atatutoa kimasomaso Au kichwa ChiNi? Nasubiria hiyo Siku.
Hiyo ripoti itasomwa lini? Hebu tujuzane ili tutege masikio yetu
wakati alipokuwa anataka kumwondoa pm.. alikuwa anaigizi?