Uchaguzi 2020 Kutoka Musoma: Kinachoendelea kwenye kampeni siyo hakikubariki

TODAYS

JF-Expert Member
Apr 30, 2014
13,753
21,208
Moja ya njia zinazotumiwa na Serikali ya CCM kuwatumia wachungaji, masheikh nk kufanya kampeni kwenye vizimba vya siasa kwa kigezo cha kufanya sara na dua hakikubariki kwenye medani ya siasa.

Hizi ni njia za kulasimisha na kulainisha wapiga kura kuwaaminisha kuwa huyo ni rais na si mgombea wa nafasi ya urais.

Viongozi wenyewe wa dini wanaendesha dua kwa hofu kabisa na wwnaonekana kabisa wanakosa ule ujasiri tunaoufaham na wanaoutumia jwa waumini wao wanapokosa.

Hali hii inayotumiwa na CCM sidhani kqma inaweza kutumika upande wa pili wa vyama mbadala na ikitumiwa basi viongozi hao wataishi kwa wasiwasi sana, kwenye eneo lao la kazi.

Msema chochote wa ccm polepole anaongea kwa nguvu kutangazia umma kuwa hii ni sherehe ya kuazimisha miaka mitano ya magufuri ah !!.
 
1599296619627.png
 
2015 kulikuwa na sera ya kwamba ''Tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu''. Kila mkutano ilikuwa inaanza sara kisha viongozi kumwaga sera na ukosoaji wa serikali Hii unaisemeaje mkuu!! Au ndiyo ile nyani haoni kundule?
Nadhani kuna jambo hujalielewa hapa.
Mazingira ya siasa za kuanza na Mungu kumaliza na Mungu haishabihiani kabisa na hiki kinachoendelea hapa musoma.

Nadhani ungekuwepo mwanzo kabusa wa "sherehe hizi" ungenielewa, siasa siyo vitisho kwa wananchi ni nguvu yako ya kuwadanganya wananchi, so na hili la hapa musoma !.
 
Kwani hujui Rais Magufuli bado ni Rais wa JMT pamoja na kugombea tena? Huoni ulinzi wake ulivyo ukilinganisha na Msaliti Lissu au Membe na wengineo?
 
Mbona Lissu alipokuwa pale kwenye mkutano wake wa Kampeni kawe dsm na Viongozi wa dini hukumuanzishia Uzi wa yeye kupinga kuwatumia masheikh na maaskofu kwenye jukwaa lake la siasa. Why always Dr Magufuli

Halafu tukiwaita Nyie ni Nyumbu na wanafiki Wakubwa mnatuona siyo wasitaarabu..

Wewe Ni Nyumbu Maana hujui hata uliendikalo.
 
Kwani hujui Rais Magufuli bado ni Rais wa JMT pamoja na kugombea tena? Huoni ulinzi wake ulivyo ukilinganisha na Msaliti Lissu au Membe na wengineo?
Kuna shida na inaweza kupata ufumbuzi muda ujao...
 
2015 kulikuwa na sera ya kwamba ''Tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu''. Kila mkutano ilikuwa inaanza sara kisha viongozi kumwaga sera na ukosoaji wa serikali Hii unaisemeaje mkuu!! Au ndiyo ile nyani haoni kundule?
Sara = Sala

Sidhani kama kuna kosa kuanza na sala.
Mleta uzi hajalalamika kuhusu hilo, msome vizuri
 
Back
Top Bottom