Lyetu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 1,116
- 2,954
Dhuruma ipi? Na mbona waliodhurumiwa hawatoki hadharani kusema ina sisi ndo tunawasemea?Wale waliokuwa wakifurahia dhuluma inayofanywa kwa wengine ndio wanaomkumbuka.
Amini Matajiri wengi walifanya biashara kijanja na baadhi wamepata walichostahili kupata ndomana hutawasikia wakitoka hadharani kusema wameonewa.
Imagine mtu anadaiwa kodi 5B hajalipa ndani ya miaka mitano, hataki kulipa kwa hiari alafu account zake zinasoma pesa ndefu tu, huyu mtu unataka abembelezwe alipe?
Tuache kiherehere hao waliodhurumiwa wajitokeze waseme walivyodhurumiwa tuache kuwasemea