MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Rais Mstaafu Mzee Mwinyi..' Yanayoendelea hapa katika Ujenzi wa hili Bwawa la Nyerere ni Maajabu makubwa Watanzania karibuni mjionee jinsi Hayati Rais Dkt. Magufuli alivyokuwa kweli anatimiza ndoto za Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere '
Rais Mstaafu Mzee Kikwete..' Kwa hiki kinachoendelea hapa Katika huu Ujenzi wa Bwawa la Nyerere siamini macho yangu na najiuliza huu Ujasiri wa Kupongezwa kabisa Hayati Rais Dkt. Magufuli aliutoa wapi kwani ameonyesha Uthubutu na kutimiza Ndoto njema za Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere '
Mwana JamiiForums Krav Maga..' Kiukweli nawashangaa sana Marais Wastaafu akina Mzee Mwinyi na Kikwete kwa Unafiki wao mkubwa usiovumilika wa Kusifia zilizokuwa Juhudi za Hayati Rais Dkt. Magufuli wakati hata Wao katika Awamu zao wangeyafanya haya ili Hayati alipokuwa Rais aendelee na mambo mengine ya Msingi kwa Watanzania hasa Ajira, Afya, Maji na Elimu ya hovyo hovyo iliyopo Tanzania kwa sasa '
Ushauri wa bure tu kwa Wastaafu hawa ni bora wanyamaze tu kuliko kuendelea Kujichoresha na Kuendeleza Utamaduni ule ule wa Unafiki ulioota Mizizi ndani ya Chama Tawala CCM ulioenda mpaka kwa Watendaji wa Serikali yao.
Halafu Rais Mstaafu Kikwete utaanzaje Kumsifia sana Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Juhudi zake huku ukisahau Kumpongeza sana Rais Mstaafu Hayati Mkapa ambaye aliweka Rekodi ya Ukusanyaji wa Mapato makubwa na baadhi ya Pesa hizo pia zilikusaidia hata Wewe kuja kuwa Rais wa Tanzania na zingine kuanza Kukusaidia kuendesha nchi japo vyanzo vya ndani vinasema ulipoondoka hukuacha Kitu pale Hazina na Hayati Dkt. Magufuli alikulaumu na Kuchukizwa mno na hili?
Na Wewe Rais Mstaafu Mzee Mwinyi nadhani tena ndiyo ungekuwa tu Mpole kwani ni katika Awamu yako ya Utawala / Uongozi nadhani ndiyo Uchumi wa nchi ya Tanzania uliharibika na kuzalisha Mafisadi Papa wengi, Rushwa kushamiri hadi Rais Mstaafu na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere akawa anakusema tena hadharani. Na sijui ni kwanini katika Kitabu chako hukutueleza Watanzania kwanini wale Tausi walitoweka na kwenda mno nchi za Uarabuni na hukusema nani katika Familia yako alikuwa akiratibu huko Kutoweka Kwao.
Mnazeeka vibaya nyamazeni mnatuboa!
Rais Mstaafu Mzee Kikwete..' Kwa hiki kinachoendelea hapa Katika huu Ujenzi wa Bwawa la Nyerere siamini macho yangu na najiuliza huu Ujasiri wa Kupongezwa kabisa Hayati Rais Dkt. Magufuli aliutoa wapi kwani ameonyesha Uthubutu na kutimiza Ndoto njema za Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere '
Mwana JamiiForums Krav Maga..' Kiukweli nawashangaa sana Marais Wastaafu akina Mzee Mwinyi na Kikwete kwa Unafiki wao mkubwa usiovumilika wa Kusifia zilizokuwa Juhudi za Hayati Rais Dkt. Magufuli wakati hata Wao katika Awamu zao wangeyafanya haya ili Hayati alipokuwa Rais aendelee na mambo mengine ya Msingi kwa Watanzania hasa Ajira, Afya, Maji na Elimu ya hovyo hovyo iliyopo Tanzania kwa sasa '
Ushauri wa bure tu kwa Wastaafu hawa ni bora wanyamaze tu kuliko kuendelea Kujichoresha na Kuendeleza Utamaduni ule ule wa Unafiki ulioota Mizizi ndani ya Chama Tawala CCM ulioenda mpaka kwa Watendaji wa Serikali yao.
Halafu Rais Mstaafu Kikwete utaanzaje Kumsifia sana Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Juhudi zake huku ukisahau Kumpongeza sana Rais Mstaafu Hayati Mkapa ambaye aliweka Rekodi ya Ukusanyaji wa Mapato makubwa na baadhi ya Pesa hizo pia zilikusaidia hata Wewe kuja kuwa Rais wa Tanzania na zingine kuanza Kukusaidia kuendesha nchi japo vyanzo vya ndani vinasema ulipoondoka hukuacha Kitu pale Hazina na Hayati Dkt. Magufuli alikulaumu na Kuchukizwa mno na hili?
Na Wewe Rais Mstaafu Mzee Mwinyi nadhani tena ndiyo ungekuwa tu Mpole kwani ni katika Awamu yako ya Utawala / Uongozi nadhani ndiyo Uchumi wa nchi ya Tanzania uliharibika na kuzalisha Mafisadi Papa wengi, Rushwa kushamiri hadi Rais Mstaafu na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere akawa anakusema tena hadharani. Na sijui ni kwanini katika Kitabu chako hukutueleza Watanzania kwanini wale Tausi walitoweka na kwenda mno nchi za Uarabuni na hukusema nani katika Familia yako alikuwa akiratibu huko Kutoweka Kwao.
Mnazeeka vibaya nyamazeni mnatuboa!