Kutoka moyoni bila unafiki, Magufuli bado yupo vichwani mwa Watanzania

Kwa mwendelezo huu wa kutegemea watu na sio taasisi tutaendelea kuwakumbuka waliopita mpaka mwisho wa Dunia...

Anyway ndio maana kuna mdau alisema Uchafu wa Mrisho unamfanya Benja aonekane msafi.., vilevile kwa John na Mrisho na Sasa Suluhu kwa John...

Hatuweze kuendelea kutegemea mtu kwa mwendo huu kila siku tutakuwa tunabadili na kubadilisha, lalama na kulalamika
 
Mtoto wangu miaka 3 aliniuliza " baba, Maufuli = Magufuli yuko wapi?" Alinikumbusha machungu na machozi yakadondoka! Alikuwa ni mkombozi wa Taifa letu kiuchumi lakini basi tena! Akiwa hai nikisikia tu sauti yake kwenye radio, Tv, naacha kila kitu na kusikiliza. Baba nenda salama, utuombee huko uliko.
 
Habari wana jamvi,

Kiukweli nimevumilia nimejikaza lakini nimehemewa acha niseme ukweli tu.

Mzee baba Magu Watz mpaka sasa wanaumia na nimeliona hili kila Mara katika Moshe zangu na safari za hapa na pale. Afu sasa cha kushangaza mpaka watoto, cha ajabu wakisikia mazungumzo yanayo muhusu wengine mpaka wanataka walie.

Mfano tu mzuri Leo nipo kwenye usafiri wa Masafa marefu naingia ndani nakuta mjadala watu wanaongea kwa machungu sana.. Basi tu ishatokea hakuna namna Mungu ashukuriwe kwa maisha yake hapa Duniani.

Ila kiukweli bila unafiki Mzee baba alikuwa mzalendo sana na anamachungu na taifa ingawa kuna wapingaji. Wanapinga huku mioyo inawasuta.
JPM Apumzike kwa amani
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
3D6C00BC-CB62-4B8C-A978-7C7CA3A618B3.jpeg

Habari wana jamvi,


Kiukweli nimevumilia nimejikaza lakini nimehemewa acha niseme ukweli tu.

Mzee baba Magu Watz mpaka sasa wanaumia na nimeliona hili kila Mara katika Moshe zangu na safari za hapa na pale. Afu sasa cha kushangaza mpaka watoto, cha ajabu wakisikia mazungumzo yanayo muhusu wengine mpaka wanataka walie.

Mfano tu mzuri Leo nipo kwenye usafiri wa Masafa marefu naingia ndani nakuta mjadala watu wanaongea kwa machungu sana.. Basi tu ishatokea hakuna namna Mungu ashukuriwe kwa maisha yake hapa Duniani.

Ila kiukweli bila unafiki Mzee baba alikuwa mzalendo sana na anamachungu na taifa ingawa kuna wapingaji. Wanapinga huku mioyo inawasuta.
 
Back
Top Bottom