figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
mnyaa anajibu eti sasa hivi mwanasheria,rais,waziri wote wa zanzibar wanatajwa tofauti na ule wa kwanza.na anasema wananchi wote walitoa maoni kupitia kwa mbunge.mia
Swali kaulizwa Tundu Lissu,
kwa nini wanatoka bungeni halafu mnachukuwa posho wakati hata kazi mliotumwa na wananchi hamkufanya?
mh huyu wa cuf hajajibu swali ni maoni yapi ya wa zenji yalitolewa. eti yeye ndo nwakilishi wa wa zenji khaaaaaaaa
mnyaa anajibu eti sasa hivi mwanasheria,rais,waziri wote wa zanzibar wanatajwa tofauti na ule wa kwanza.na anasema wananchi wote walitoa maoni kupitia kwa mbunge.mia