Mnyaa: wanaharakati wamesikilizwa na hata mabadiliko yaliyopo yamezingatia maoni yao.
TL: Mabadiliko ya katiba znz yameua upinzani znz. Huku bara CCM na CUF wanashirikiana ktk uchaguzi. CUF hawawezi kupinga la CCM.
jamani LISSU ni mpana mnooooooo. uelewa waku mpana saaaaaaana CHADEMA HOYEEEEEE