Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,745
- 830,866
- Thread starter
- #21
kwani wewe ulipoweka picha ya namna hii ulitegemea nini?
Mada za kuukashifu uislam zimezidi hapa jf siku hizi, siku moja kwenu nyingi. Na hii ni moja wapo mshana.
Nafkiri umenielewa..
My nauheshimu mchango wako...!!!! But trust me naongea toka rohoni Nina heshimu imani za wengine kwa kiwango cha juu kabisa na hii sikuwa na maana yeyote ya kuukashifu uislam, siwezi na sina faida nikifanya hivyo ndio maana nimejaribu kwa nguvu zote kuwazuia wale wote waliojaribu kuleta kashfa bila kujali imani zao