juma mpemba
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,227
- 7,552
Je Kama usiku huo alikutana mwingine au njiani wakati akirudi kwao.??Hoja ya binti kutokutwa eneo la mshukiwa nahisi siyo ya kuitegemea. Kupimwa kesho yake....
Katika kesi ya Babu Seya ilisemwa kwamba mtoto akipimwa hata akikutwa na mchubuko tu ni inatosha kuprove tukio limetokea regardless kama alikutwa kwa mshukiwa.
Na binti anasema alihisi maumivu. Means binti ana michubuko, sperms? Zaweza ishi kwa siku tatu. So she has his DNA in her.
Hii yote kama wakikomaa ili ionekane jamaa kabaka aisee wataitumia (Nahisi) na wataprove.