Wakuu wanamageuzi,
Poleni kwa propaganda za ccm kupitia magazeti yao ya Mtanzania nk.
Napenda kuwajuza kuwa kikao cha wakuu wa UKAWA bado kinaendelea vema kabisa, na mambo makubwa yote yameshapatiwa ufumbuzi ikiwemo taratibu za kumpata mgombea wa Urais na changamoto za vifungu vya katiba juu ya wagombea hao.
Pia utaratibu wa majimbo,vyote vimekamilika.
Hakuna chama kilichowasilisha barua yakujitoa wala aina yoyote ya kutokuelewana kunakoweza kupelekea kuvunjika kwa UKAWA kama ambavyo maadui zetu wanavyoeneza propaganda hizo,
Pia niwajuzi tu kuwa UKAWA hawajapokea ombi la mtu ama kikundi chochote kinachotaka kujiunga nao, na kwamba malengo na dhana nzima ya uwepo UKAWA yapo wazi kwa kila Mtanzania kuwa ni UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI, na slogan ya ukawa ni "Utaifa wa Uzanzibar, Utanganyika na Utanzania"
Hivyo kikundi chochote kinachotaka kujiunga na Ukawa ni lazima kikubali kujikana na kuyabeba malengo ya wanaukawa. Sio UKAWA ufuate matakwa ya kikundi hicho.
Vuteni subira wakuu wa ukawa watatoa tamko rasmi baada ya kumaliza kikao chao.
Unaijua haswa maana ya Uzanzibar na Utanganyika?
Mkuu serikali sio Uzanzibar, Utanganyika wala Utanzania. Serikali ni chombo kinachoongoza nchi hata Halmshauri ni chombo sio cha UMwanza, Uilala, UShinganya na UKilimanjaro..Hivi huwa mnaamikia wapi kabla hamjatunga vitu hivi..
Ahsante kamanda, hawa ccm na mchepuko wao act watakosa la kusema
Yericko acha uongo, yalioandikwa na mtanzania ni kweli wala hayana Shaka ya uongo, je barua ya ACT ya maombi imeisha jadiliwa? Unachoongea hapo ni kuwatia moyo wafuasi lakini ki ukweli Hali ni mbaya kuna hatari Leo wakagawana mbao. Cuf wameisha chukua msimamo ni lazima Prof lipumba awe mgombea wa Urais kwa sifa na uwezo alionao vinginevyo asiyetaka ajiondoe
Yericko Nyerere ni muongo, hata akisema saa hizi nje kuna mvua ingawa nnaisikia lakini mpaka nikatazame.
Anajidai kuandika kama vile yumo ndani ya hicho kikao. Na misukule inashangilia.
Utanganyika, Uzanzibar na Utanzania ni slogan.
Naamini leo upo na ufahamu imara kuliko kule ulikokuwa unalialia kama mavuvuzela ya Lumumba.
Bila shaka unatambua vema maana ya slogan ama kwakiswahili fasaha huitwa KAULIMBIU
It is to me! unapotumia neno na hasa slogan ina maana kubwa zaidi ya kila kitu kama nembo maana ndicho unachopigania. Labda nikupe mfano utaoujua vizuri, KKK kama serikali ni chombo chenye mamlaka ya kuendesha shughuli za Kikritu hakina lengo wala nia ya kutangaza ama Kutenganisha UKRISTU, UISLAAM na UTANZANIA (kwa slogan).. sasa mnapokuja na slogan yenye matamshi kama haya inabidi watu tujiulize mlikuwa wazima kweli ama insane!Hata kama naijua au siijui....
Sio main issue at hand
Pole kwa ugonjwa mkali unaokusumbua.....
Msalimie nduguyo laki si pesa
Jamani tuambieni ukweli wacheni kuweka ushabiki hum
Nashukuru sana kwa kutupa taarifa hii na nafurahi sana kwa Ufafanuo wako wa Slogan ya UKAWA kuwa ni UZANZIBAR, UTANGANYIKA na UTANZANIA, Kesho itakuwa Uislaam, Ukristu na Utanzania kwani kila utengano huanza na cheche...
Ukawa ushakufa
It is to me! unapotumia neno na hasa slogan ina maana kubwa zaidi ya kila kitu kama nembo maana ndicho unachopigania. Labda nikupe mfano utaoujua vizuri, KKK kama serikali ni chombo chenye mamlaka ya kuendesha shughuli za Kikritu hakina lengo wala nia ya kutangaza ama Kutenganisha UKRISTU, UISLAAM na UTANZANIA (kwa slogan).. sasa mnapokuja na slogan yenye matamshi kama haya inabidi watu tujiulize mlikuwa wazima kweli ama insane!
Wengi wanaamini Lipumba ana uwezo,lakini chadema hawezzi ruhusu hiyo.Ni kweli kabisa Chadema inaweza kutoa mgombea Urais kama mshirika wa UKAWA.
Pia pengine umeona ndani ya Chadeama kuna mtu mwenye uwezo ndio maana umefikia hitimisho hilo.
Nashukuru sana kwa kutupa taarifa hii na nafurahi sana kwa Ufafanuo wako wa Slogan ya UKAWA kuwa ni UZANZIBAR, UTANGANYIKA na UTANZANIA, Kesho itakuwa Uislaam, Ukristu na Utanzania kwani kila utengano huanza na cheche...
It is to me! unapotumia neno na hasa slogan ina maana kubwa zaidi ya kila kitu kama nembo maana ndicho unachopigania. Labda nikupe mfano utaoujua vizuri, KKK kama serikali ni chombo chenye mamlaka ya kuendesha shughuli za Kikritu hakina lengo wala nia ya kutangaza ama Kutenganisha UKRISTU, UISLAAM na UTANZANIA (kwa slogan).. sasa mnapokuja na slogan yenye matamshi kama haya inabidi watu tujiulize mlikuwa wazima kweli ama insane!
Mkandara, Umetumia kigezo gani kuandika hayo?
msukule bibi yako