Kutoka Kigoma kaskazini

Kutoka Kigoma kaskazini

hoja dhaifu kama hizi zinadhihirisha jinsi cdm ilivyo filisika. Bado sana kuwa na upinzani imara tanzania.

Maumivu yote haya unayopata ya nini mkuu wakati kuna chama cha kukusanya takataka si uende huko?
 
Nyie vibaraka wa ccm mpokeeni huyo zito na mhakikishe mnampatia UWENYEKITI ndani ya chama chenu cha wezi wa rasilimali zetu. Cdm ni bora kuliko ZZK

Hajfukuzwa uanachama ameng'olewa nyadhifa alizokuwa nazo ndani ya chama! Kwa maana hiyo anayo nafasi ya kuendelea kuijenga CHADEMA kama anaona anayo sababu ya kufanya hivyo!
 
wapiga kura wa ZZK tunamshukuru Mungu kwa yote yaliyotokea kwa Mbunge wetu na haya yote tunasema yamekuja kwa wakati kwan huyu jamaa ana ndimi nyingi zinazomfanya kutoaminika mbele ya jamii.Jamaa ana mchango mdogo mdogo sana ktk chama na ndio maana jimbo lake mpaka leo lina diwan mmoja tu wa CDM.kwa majanga anayoyafanya mtu huyu cc tunakaribisha uchaguzi mpya na kamwe z hatumtaki kwanza ameshamuachia Mr Piter serukamba jimbo na ameshaanza kujinadi.NB:Ungewajari wapiga kura wako hakika leo hii tungekupokea kama Mfalme ila kwa kuwa ulijifanya mbunge wa Taifa, basi Taifa likupokee(RIP ZZK)

ndimi mbili mbona hata wewe unazo
 
Zitto Zubeir Kabwe atabaki kuwa shujaa wa wana Kigoma Kaskazini.
Ataunganisha nguvu za Machali. Kafulila. Mkosamali kigoma itasimama kidete.
All the best Zzk
 
Ni aibu kwa Zitto anayejipambanua kuwa mzalendo jimbo lina diwani moja wa chadema.

Zitto ni nyoka ....... Nenda kwa mafisadi wenzako. Kigoma kuna shida ya maji chakula na huduma za afya, lakini Zitto anatembea na Hammer

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Ni virahisi kwa CDM kuchukua majimbo ya Ukonga, Temeke, Ubungo, Kinondoni na Kawe! Ila siyo Mwandiga kwa Zitto.
 
Last edited by a moderator:
ZZK yuko vizuri upstairs lakini bado anapungukiwa uwezo wa kuhimili siasa za jimboni kwake na chama chake.2010 alishinda kwa shida sana dhidi ya Robinson Lembo wa CCM,mnaosema ana uhakika wa kushinda jimboni cjui kigezo chenu ni nini!!
 
wapiga kura wa ZZK tunamshukuru Mungu kwa yote yaliyotokea kwa Mbunge wetu na haya yote tunasema yamekuja kwa wakati kwan huyu jamaa ana ndimi nyingi zinazomfanya kutoaminika mbele ya jamii.Jamaa ana mchango mdogo mdogo sana ktk chama na ndio maana jimbo lake mpaka leo lina diwan mmoja tu wa CDM.kwa majanga anayoyafanya mtu huyu cc tunakaribisha uchaguzi mpya na kamwe z hatumtaki kwanza ameshamuachia Mr Piter serukamba jimbo na ameshaanza kujinadi.NB:Ungewajari wapiga kura wako hakika leo hii tungekupokea kama Mfalme ila kwa kuwa ulijifanya mbunge wa Taifa, basi Taifa likupokee(RIP ZZK)

MNAMA wa Kigoma.
 
Ni aibu kwa Zitto anayejipambanua kuwa mzalendo jimbo lina diwani moja wa chadema.

Zitto ni nyoka ....... Nenda kwa mafisadi wenzako. Kigoma kuna shida ya maji chakula na huduma za afya, lakini Zitto anatembea na Hammer

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Bwana wako Lema ameifanyia nini Arusha? acha kutumika na kufuata mkumbo.
 
Baada ya kustukia Njama za Kumuua na kuomba Ulinzi,
Baada ya kustukia Njama za kutafuna Ruzuku na kuomba Ukaguzi,
Baada ya kustukia njama za kumchafua kwenye Mtandao na kuomba Ufafanuzi kwa Katibu Mkuu,
Baada ya kuanza kujipanga kwa Uchaguzi Mkuu wa Chama ili afichue kipengele kilichong'olewa cha ukomo wa Uongozi,
Baada ya kustukia njama za kutaka kumfanyia Fujo ndani ya Mkutano Wa Baraza kuu na kuamua Kuingia na Walinzi binafsi wanne
hatimae Chadema Tawi la Freeman Mbowe limeamua kumfukuza na kumvua Nyadhifa zote Zitto Zubeir Kabwe

umalaya kitu kibaya sana.....
 
Zambi ya unafiki ni zambi inayoumiza sana najua unajutia maamuzi yako ya kuwa mnafiki pole sana kwa unafiki ila matokeo ya unafiki ndo haya nenda lumumba wakakupe kazi kwa sababu walikutumia awatakuwa na imani na wewe pole ndo mwisho wako wa kisiasa zzk
 
Ni virahisi kwa CDM kuchukua majimbo ya Ukonga, Temeke, Ubungo, Kinondoni na Kawe! Ila siyo Mwandiga kwa Zitto.

wewe ni kalio tena la kushoto hata mramba alisema hivyo hivyo.......
 
Last edited by a moderator:
Makundi ndani ya CDM at work, umetumwa kufanya kazi ya kummaliza zito na si watu wa Kg. na nadhani huwajui vizuri watu wa KG. kwa upuuzi wenu huu hata wanamziki watawaimba sana watu wa kaskazini kwa ukabila na ukanda wenu.
 
Mleta mada uloyasema ni ukweli mtupu binafsi nafanyia kazi eneo lake huyu bwana muheshimiwa mbunge wa kitaifa hakubaliki kabisa jimboni kwake kwa kipindi sana kwani alichowaahidi wananchi wake hajatekeleza hata
 
Ni aibu kwa Zitto anayejipambanua kuwa mzalendo jimbo lina diwani moja wa chadema.

Zitto ni nyoka ....... Nenda kwa mafisadi wenzako. Kigoma kuna shida ya maji chakula na huduma za afya, lakini Zitto anatembea na Hammer

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Mkuu Mungi hapo umeteleza. Ni kweli Zito ana diwani, na kweli anatembelea Hammer. Lakini Kigoma hakuna shida ya maji wala chakula. Ni mkoa uliojaliwa maji na hakuna anayekufa kwa njaa kama mikoa yenu. Na hata wengekuwepo madiwani wengi wa chadema isingebadilisha kitu. Zito kutembelea hammer hayo ni maisha yake, na wapo wengi zaidi yake na majimbo yao yako hoi. Kama mna tatizo naye mshughulike naye kama yeye
 
Ni virahisi kwa CDM kuchukua majimbo ya Ukonga, Temeke, Ubungo, Kinondoni na Kawe! Ila siyo Mwandiga kwa Zitto.
Wewe Nyakageni usidanganye watu huyu jamaa hakubaliki kwa sasa hata nukta moja Kigoma Kaskazini usiaminishe watu maneno ya uongo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom