Kutoka Kigoma kaskazini

Chadema msijidanganye mmepoteza mtu muhimu kuliko mnavyodhania.wacheni ubaguzi mnauwa chama kwamtindo huo wananchi tunaondoka imani na nyinyi afadhali ya ccm kwa mtindo huo

Mmhh mkuu ckubaliani na wewe Lisu kuwa afadhari kwa Lukuvi??
 

Umenena vyema.
 
Kati ya mwaka 2005 na 2010 kipindi gani alipata kura nyingi zaidi

Ningelichukua swali lako kwa uzito kama ungeuliza alipata asilimia ngapi ya kura zilizopigwa!
Sasa unaulizia uwingi tu wa kura??? Then what??? Hiyo sio analysis ya data mkuu haitoi picha yoyote, sorry lakini!
 
Ningelichukua swali lako kwa uzito kama ungeuliza alipata asilimia ngapi ya kura zilizopigwa!
Sasa unaulizia uwingi tu wa kura??? Then what??? Hiyo sio analysis ya data mkuu haitoi picha yoyote, sorry lakini!

CDM tushafulia sasa, inauma
 
tatizo la siasa za kibongo uksimamia katika ukweli wanakuona msaliti ndo kilichompata huyu jamaa.kauliza mapato na matumizi ya pesa za ruzuku bana wewe dah ........
 
Bye bye Zitto chadema and BYE BYE chadema KIGOMA. hiyo ndo habari ya mujini sasa hivi na sio hizo propaganda zako unazoandika kutoka arusha/kilimanjaro.
labda kama wewe ni sikio la kufa na huwezi hata kujifunza kutoka kwa sisimizi KAFULILA na tembo slaa!
 

sjawah kuchukia ila nmelazmika,hv ------ unatoka kgm ip,ukiacha kwenda,mama yako,ataenda tu,hv umebahatka kwenda shule?watu wa kgm nliosoma huwa co vlaza kama ww,zto amechakngia kuitangaza kgm
 

sjawah kuchukia ila nmelazmika,hv ------ unatoka kgm ip,ukiacha kwenda,mama yako,ataenda tu,hv umebahatka kwenda shule?watu wa kgm nliosoma huwa co vlaza kama ww,zto amechakngia kuitangaza kgm
 
wewe umetengenezwa kwa hizi posts zako 3 inadhihirisha wazi umetumwa na wala si wa kwetu kigoma.
 
Chadema msijidanganye mmepoteza mtu muhimu kuliko mnavyodhania.wacheni ubaguzi mnauwa chama kwamtindo huo wananchi tunaondoka imani na nyinyi afadhali ya ccm kwa mtindo huo

Nimeshasema kwenye thread moja kuwa siyo vizuri kipuuza mawazo kinzani. Kwa hali hii sioni mbadala wa magamba, kheli shetani unayemjua kuliko malaika usiyemjua
 
Zito ni nembo ya Kigoma kama Mao kuwa nembo ya China jipange CDM Imekurupuka kwa kumtimua.
 
2010 jumla ya kura zote zilizopigwa Tanzania nzima zilikuwa chache
 
inauma sana mnapokuwa kwenye mapambano ya aina moja harafu anaibuka msaliti.....kwa zamani lazima unyongwe...
 
Kwan zzk ni mungu mtu awezi kuguswa achen kufikil kwa kutumia ------ mlikuwepo ktk kikao
 
Zitto ni mnafiki sna tangu akiwa udsm,alikuwa msaliti sna.Hta kigoma alihijumu Ally Mlei asishinde kigoma mjini mwaka 2010 ili abaki peke yke km mb wa cdm. He is traitor tangu zamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…