Mungu WABARIKI Ma Mods WOOOOOOOOOOOOOOOOOTE. Mungu awajaalie Siha njema, uwajibikaji uliotukuka na maisha Mujarab..Mungu ibariki Jf, Mungu mlinde Maxence Melo.
Happy new yearhappy new year too jf
asanteni kwa kunipatia mchuchu
Mbona ipoHongereni JF kwa kuwa sauti ya wanyongena wasiopata nafasi ya kupaza sauti zao isipokuwa kutumia jukwaa hili.
Kudos.
Maoni:
JeKuna nuwezekano wa kuweka DELETE option kwenye PRIVATE inbox. Ili kama ujumbe niliotumiwa na siupendi nasiutaki ninanataka ku u DELETE iwe ni rahisi.
Ahsanteni sana kwa kazi zenu nzuri katika kuueleimisha uamma kupitia Jukwa hili tunapotoa hoja na maoni mbali mbali
Happy new year 2018.