Kutoka hapa mpaka hapa

Kutoka hapa mpaka hapa

Kila chenye mwanzo kina mwisho<<<<<>>>>> hakuna mwisho ambao haukuwa na mwanzo wake...
 
Ukisikia muujiza ndio huu, sio ule utapeli wa Tapeli bushiri. Ila sasa naelewa kwanini China hunyonga wauza madawa
 
Du! Mshana hongera sana, kumbe HD huku upo broo!!! Mie NFO mwanzo LEO. Kuzuri pia kupunguza stress. Kule Siasa ni looooh
 
nilipoziona hizo picha mwaka jana na maelezo yaliyo tolewa ni kuwa huyo binti kaamua kumsaidia 'rafiki yake wa utotoni' nikapigia tu msitari kuwa huwenda huyo jamaa ndie aliye muingiza binti kwenye ramani ya mapenzi kwa mara ya kwaza kisha wakapotezana labda kwa ishu za elimu au kuhama kikazi n.k
 
nilipoziona hizo picha mwaka jana na maelezo yaliyo tolewa ni kuwa huyo binti kaamua kumsaidia 'rafiki yake wa utotoni' nikapigia tu msitari kuwa huwenda huyo jamaa ndie aliye muingiza binti kwenye ramani ya mapenzi kwa mara ya kwaza kisha wakapotezana labda kwa ishu za elimu au kuhama kikazi n.k
Hahahaaa
 
Kuna cha kujifunza jamani tusiwe na roho ngumu.. maaana kuna wengine toka wagombane wakiwa Sekondari mpaka leo hawasemeshani...
 
Kuna cha kujifunza jamani tusiwe na roho ngumu.. maaana kuna wengine toka wagombane wakiwa Sekondari mpaka leo hawasemeshani...
Kusamehe na kusameheana ni karama kisha ni kipaji
 
Back
Top Bottom