Kutoka Dodoma!

Hii topic ya nini hapa ktk tarehe hizi au ni kwa vile kilango amelazwa hospital wakuu?
Kweli tumetoka mbali sana
 
Hii topic ya nini hapa ktk tarehe hizi au ni kwa vile kilango amelazwa hospital wakuu?
Kweli tumetoka mbali sana

Anasumbuliwa na maradhi gani da Anne, au ni pressure baada ya da Shamsa kumpangua ile hoja?
 
Alikuwa na katatizo ktk mgongo, amefanyiwa operesheni ndogo mgongoni; i happened to like the timing of operaton and mwangunga's kibano!!!!! Terrific

umaarufu una gharama wakuu
 
Hakuna aliyevuliwa uanachama. CCM ni ileile, tutarajie makubwa zaidi ya hayo ya kina chenge mwska huu na mwakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…