Kutoka Daudi Bashite mpaka Paul Makonda

mukuje leo jenesta kaenda knondoni kijana kafyata kinoma kumbe waziri noma sadick hakwepo
 
Ebu mwaga mambo hadharani hii tabia imezidi sana ccm.

Siyo hivyo tu, makonda ana ndugu yake Kahama anaitwa Fadiga, huyu Fadiga alimbaka taahira tena anayetokwa na udenda inasemekana Makonda akamtoa jela huyo mbakaji hii ishu naikusanyia ushahidi kisha tuitoe kwenye gazeti la MAWIO. ila ni kweli tupu mimi ni shuhuda.
 

Hii tabia ya watu kutumia vyeo vyao kuhalalisha madhambi iko siku zitawatokea puani.
 
Kwahyo dc wangu no Kilaza alifeli hata form 4!!!! Silali kuamin aiseeeee
 
Last edited by a moderator:

mbona unaleta ushabiki wa kikuda, hapa uzi unamhusu makonda sio mwingine
 
DAUDI BASHITE------>>>PAUL MAKONDA.
TYPICAL INCLUTIONS.
HII NI DOSARI NA KOSA,
YAELEKEA YUPO MTU AIYWAYE P.MAKONDA AMBAYE HUENDA ALIFAULU MASOMO, AKASHINDWA KUHUDURIA.
ii
 
Daud Bashite aka Paul makonda. Amepigwa sup sana hapo ushirika na hata kudisco. Yaani ana kichwa kizito balaa. Ngoja kubenea aje na full cv yake mpaka ataipenda!
 
acheni uongo mbona kaka yake yule mkurugenzi anaitwa makonda
 

yan ata hauelewek unakiandika n kitu gan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…