Sheikh23
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,128
- 1,842
Habari wadau,
Leo Bungeni ishu ya Makato kichomi kwa mtumishi mnyonge aliesomeshwa na Serikali yalijadiliwa ambapo mbunge(simkumbuki jina) aliuliza " Serikali ina mpango gani wa kuyashusha makato hayo ambayo yalikuwa 8% na kuwa 15% ishu ambayo inawapa ugumu kiuchumi watumishi na wengine kukosa hata nauli za kwenda makazini"
Waziri Prof: Ndalichako alijibu "makato yapo kisheria,wadau walihusishwa na sheria kuvadilishwa,hivyo serikali ya wanyonge haina mpango wa kubadilisha makato haya"
NO Madaraja (vyeo),
NO Mabadiliko ya Mshahara,
NO Annual Incriment (July),
Matibabu,Nauli Kulipwa after 1+ year,
Makando kando mengine ya Utumishi
Mtumishi tafuta source nyingine ya Income, muda ni mali, umri unakwenda, hili jukwaa linaishi, Usije kulaumu hukushauliwa,
Ushauri ni hili Bandiko...
Leo Bungeni ishu ya Makato kichomi kwa mtumishi mnyonge aliesomeshwa na Serikali yalijadiliwa ambapo mbunge(simkumbuki jina) aliuliza " Serikali ina mpango gani wa kuyashusha makato hayo ambayo yalikuwa 8% na kuwa 15% ishu ambayo inawapa ugumu kiuchumi watumishi na wengine kukosa hata nauli za kwenda makazini"
Waziri Prof: Ndalichako alijibu "makato yapo kisheria,wadau walihusishwa na sheria kuvadilishwa,hivyo serikali ya wanyonge haina mpango wa kubadilisha makato haya"
NO Madaraja (vyeo),
NO Mabadiliko ya Mshahara,
NO Annual Incriment (July),
Matibabu,Nauli Kulipwa after 1+ year,
Makando kando mengine ya Utumishi
Mtumishi tafuta source nyingine ya Income, muda ni mali, umri unakwenda, hili jukwaa linaishi, Usije kulaumu hukushauliwa,
Ushauri ni hili Bandiko...