GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Wanabodi, Moja kati ya ukatili uliofanyika na kuwaumiza watumishi wa uma na sekta binafsi ni tamko la Kuongeza riba ya mikopo ya wanafunzi kutoka asilimia 8% mpaka 15%
Vyama vya wafanyakazi na wadau wapaze sauti kuhusu riba hii ya asilimia 15% kwa vijana wetu kushushwa.Haya maamuzi ya kupandisha yalifanywa na mtu mmoja bila kushirikisha wadau ambao ni waajiri na vyama vya wafanyakazi
Serikali hata ikiongeza mishahara watumishi wa uma ni sawa na sifuri kwa sasa. Kwani mshahara ukiongezeka na makato ya Bodi ya mikopo ya wanafunzi inaongezeka.
Ni wakati muafaka Mama Samia kubadili ule uamuzi uliofanywa na mtangulizi wake kwa kupunguza riba ya mikopo ya wanafunzi.
Hotuba ya Mama Samia hata akisema Bungeni ataongeza mishahara bado hilo ongezeko litakatwa riba ya asilimia 15% ya Bodi a ya mikopo.
Kijana aliyeanza kazi na mshahara wa TZS 1,600,000 Graduate anakatwa karibu TZS 240,000 ya Bodi ya mikopo, Hapo bado kodi ya Paye, Bado NSSF. Hata ukimuongeza huyu kijana mshahara mpaka TZS 1,800,000 mambo ni yale yale tu.
Tuwaunge mkono vijana wetu kupaza sauti wanaumia sana na riba ya asilimia 15%.
Serikali ijaribu kushusha riba hii.
Tamko lolote la Kuongeza mishahara kwa watumishi wa uma halitakuwa na maana kama bado deni la Bodi ya mikopo litabaki asilimia 15%.
Vyama vya wafanyakazi na wadau wapaze sauti kuhusu riba hii ya asilimia 15% kwa vijana wetu kushushwa.Haya maamuzi ya kupandisha yalifanywa na mtu mmoja bila kushirikisha wadau ambao ni waajiri na vyama vya wafanyakazi
Serikali hata ikiongeza mishahara watumishi wa uma ni sawa na sifuri kwa sasa. Kwani mshahara ukiongezeka na makato ya Bodi ya mikopo ya wanafunzi inaongezeka.
Ni wakati muafaka Mama Samia kubadili ule uamuzi uliofanywa na mtangulizi wake kwa kupunguza riba ya mikopo ya wanafunzi.
Hotuba ya Mama Samia hata akisema Bungeni ataongeza mishahara bado hilo ongezeko litakatwa riba ya asilimia 15% ya Bodi a ya mikopo.
Kijana aliyeanza kazi na mshahara wa TZS 1,600,000 Graduate anakatwa karibu TZS 240,000 ya Bodi ya mikopo, Hapo bado kodi ya Paye, Bado NSSF. Hata ukimuongeza huyu kijana mshahara mpaka TZS 1,800,000 mambo ni yale yale tu.
Tuwaunge mkono vijana wetu kupaza sauti wanaumia sana na riba ya asilimia 15%.
Serikali ijaribu kushusha riba hii.
Tamko lolote la Kuongeza mishahara kwa watumishi wa uma halitakuwa na maana kama bado deni la Bodi ya mikopo litabaki asilimia 15%.