Anafuata Prof Kahigi CHADEMA
Bado sijaelewa,inaonekana kama wanataka kujihalalishia posho maana wameongeza siku mbili juu ya kujadili hotuba ya waziri mkuu coz wachangiaji ni wengiMbona hotuba ya Pinda tupu sana. Bado wanaendelea kuijadili! Wanahalalisha posho tu hao.
Ni kweli kabisa.vichwa vya CDM utavijua tu, yaani wakisimama kuongea km unataka kutoka hutatoka hadi wamalize, akisimama wa magamba kuongea lazima km upo sehemu hutasubiri aongee, utaondoka bila hata kuaga.
That is true mkuu,mi mwenyewe nimependa sana huyu mama alivyotoa mchango wake na kuivua serikali nguoBunge limeisha mi nimependa Suzan Lyimo alivyochangia kawachana serikali na kawataka Mh Mbowe na Slaa waendlee kuichachafya serikali kwa maandamo yao kwa kudai CDM imewashika pabaya serikali.
Kadai Migomo ilikuwapo tangu miaka ya 60 hapakuwapo na Chadema, Cuf wala TLP sasa hizi kejeli kwamba vyama pinzani vinachochea maandano imetoka wapi??