Mnyika na wenzake wote wametoka nje ya mada! Thanx Anne kwa kuwarekibisha!
just info: kuna siri nzito juu ya kujiuzuru kwa mawaziri ..linaweza lisitokee
Wakati tunasubiri Updates, Jiunge na Group Ukombozi Tanzania iliyo Facebook nawe ikiadd marafiki zako wote Watanzania. Kwa pamoja tutafika
Spika Makinda to Mbowe "una bahati Jambazi lako limekuwahi kuomba mwongozo sivyo ungekosa nafasi" Mnyika aliomba mwongozo kabla ya Mbowe kuongea
Spika SEMAMBA amemwita Mnyika JAMBAZI. Kamwambia mbowe "ulikuwa umepitwa ila shukuru muongozo wa huyu JAMBAZI wako (Mnyika) umekuokoa"
UPDATES: HOFU YANGU YA KUTOWAONA WABUNGE ILIKUWA SAHIHI
PM anamjadala Mkali tena, Sitashangaa Maamuzi haya yakachakachuliwa Vibaya na zikazuka Hadithi mpya kabisa ambazo zitasononesha Vibaya mioyo ya Watanzania waliokwishajawa na dukuduku la kujua hatima ya Mawaziri wanaotuhumiwa kwa kutafuna mali ya UMMA na kukosa uwajibikaji.
Tunasaka DETAILS ZAIDI
UPDATES: HOFU YANGU YA KUTOWAONA WABUNGE ILIKUWA SAHIHI
PM anamjadala Mkali tena, Sitashangaa Maamuzi haya yakachakachuliwa Vibaya na zikazuka Hadithi mpya kabisa ambazo zitasononesha Vibaya mioyo ya Watanzania waliokwishajawa na dukuduku la kujua hatima ya Mawaziri wanaotuhumiwa kwa kutafuna mali ya UMMA na kukosa uwajibikaji.
Tunasaka DETAILS ZAIDI