Kutoka Bungeni:CUF wajitoa Kambi ya Upinzani kwa mnadhimu kukosa sifa

nani kasema cdm wanatetea maslahi ya umma? hawa ni wahuni waliokuwa vijiweni wamekutana na upepo wa kisiasa wamepata ubunge huenda hata wanapuliza kiji.. hongera cuf mna busara mtu mmoja anaweza kuwafanya nyie wote hamna maana mbele ya macho ya watz.
 
Duh!!Hatimaye Chama cha Wananchi i.e C.U.F chatangaza rasmi kuwa chenyewe si Chama cha Upinzani...na kinaomba itambulike kuwa CHADEMA ndio chama cha Upinzani Tanzania
 
  • Thanks
Reactions: FJM
nani kasema cdm wanatetea maslahi ya umma? hawa ni wahuni waliokuwa vijiweni wamekutana na upepo wa kisiasa wamepata ubunge huenda hata wanapuliza kiji.. hongera cuf mna busara mtu mmoja anaweza kuwafanya nyie wote hamna maana mbele ya macho ya watz.
<br />
<br />
we unaumwa kipindupindu ndo mana unanuka uharooo!
 
Hata mi nashangaa! sikujua kwamba CUF wapo kwenye kambi ya upinzani bungeni.
 
Kati ya Lissu alietolewa bungeni kwa kutetea haki ya kusikilizwa wanyonge, na Ss Hamadi aliyesthtakiwa kwa kesi ya kumpora askari smg ni nani amekosa sifa ya uongozi?
Ndio maana magamba wamewapiga buti la nguvu kuwanyang'anya ushindi huko zenji na kuwalazimisha kuimba wimbo wa kumpamba mume apate usingizi. Huyu mbunge anatushangaza kwa kusema cuf wanajitoa upinzani kana kwamba wapo upinzani. Haya ni madhara ya m/ki wa kitongoji kuitwa mbunge.
.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
sishangai kabisa! cuf ni chama cha wapemba na wako kwa ajili ya interest za wa Pemba,kwa hiyo sawa tu alivyo sema maana wao tayari wakopamoja na ccm visiwani wakisimamia interest za nchi yao.tunasubiri siku warudi kwao basi
<br />
<br />
Kama ilivyo CDM chama cha Wachagga hilo halina ubishi
 
Masikini!! jamani hivi Kombo hajui kwamba Cuf sio wapinzani sisi tuko mbali tunalijua hilo yaani mbunge mzima hajui kwamba cuf ni ccm nimpe pole zake.
 
Cuf ni wapumbaf sana kwnz wao ndo waling'ang'aniza kuingia kwny kamb ya upinzan wakidhan wataua upinzan kupitia mkakat wao na magamba.bt wameona chadema na nccr wako moto wanadeclare kujitoa waondoke haraka sn wapumbaf wamezoea kugongwa na magamba wanafurahia,wanaudh sn ila mpaka kieleweke.magamba hawawez kuzuia moto wa chadema na hizo mbinu zao feki wanafikir kila m2 ni gamba?
 
Wanajitoa kutoka wapi?huwezi kujitoa kutoka mahali ambako hujawahi kuwepo......ni lini walishawahi kuwa wapinzani au sehemu ya upinzani? wanatafuta njia ya kujijenga kupitia udhaifu wa CCM kutumia kanuni vibaya? They are so desparate now !
 
Cuf waapuuz tu, wao si wana share na ccm?! Wapo bungeni lakini hawajui hata wanchotetea. Acha waendezao aaarrrgggghhh
 
Haya ndio matatizo ya vyama vya Upinzani nchini... Tatizo kubwa ni Wanasiasa Uchwara kama huyu..
Haya mambo huwezi kuyakuta CCM hata kidogo, ila vyama vya Upinzani tu siku zote sababu ya kutofautiana ni watu na maamuzi yao binafsi..

Jambo moja muhimu sana nawaomba wanasiasa uchwara walifahamu. Kwanza ni heshima kwa viongozi wako hata kama hukubaliani nao kwa maana kwamba ndani ya CCM toka Nyerere huwezi kukuta migogoro ya kiuongozi ndani ya chama. Nyerere alikuwa na sekretariet yake na akabadilisha mara kibao, akaja Mweinyi na yake akaja Mkapa na yake na leo hii JK anayo yake baadaye kubadilisha hivi majuzi tu...


Pamoja na mabadiliko yote haya haijatokea hata siku moja viongozi wake kudharauliwa na wanachama ama viongozi hata kama hawapendwi. Tulikuwa na Rostam kama mweka hazina wa chama na alikuwa na maadui lakini haikutokea mtu kuodnoka chama wala kubishana na uongozi kwa sababu kachaguliwa Rostam..Na hata wakati wa misukosuko ya Rostam hakuna kiongozi wala mwanachama aliyejitoa chama kwa sababu Rostam ni mweka fedha isipokuwa walitafuta njia za kumwondoa kuilaini na wakaweka kundi jingine.. majuzi tu wamebadilisha tena hakuna kinyongo maanake nafasi za chama ktk uongozi ngazi za juu hazifiki 100 na wanachama ni zaidi ya 2mil.. utaweza vipi kuwadhirisha wote!

Lakini tazama vyama vya Upinzani..kila mtu anataka kuwa kiongozi makao makuu ya chama, kila mtu anataka kuwa mwenyekiti, katibu au mweka hazina..Usipofanikiwa kuna mchawi wako na unaunda uadui..Kuna watu wanahama CDM kwa sababu ya Mbowe au Dr.Slaa au Zitto sijui Lema kafanya hivi ama vile. Nenda CUF, NCCR, TLP kote kumejaa wanasiasa ambao kwao chama ni MTU, ukiwa na ugonvi na Mbowe basi chama hicho hakikufai unaondoka kwenda NCCR au CUF, vivyo hivyo toka CUF na NCCR ili mradi maamuzi yako yanatokana na MTU sio SERA wala hoja..

Haya tazama mbunge kama huyu, ni kiongozi wa chama na anathubutu kusema CUF inajiondoa ktk kambi ya Upinzani kwa sababu Tundu Lissu hana nidhamu! kweli hii inaingia akilini kukiweka chama ktk nafasi mbaya ya kutetea maslahi ya wananchi..Ukijiondoa ktk Upinzani unajinyima fursa ya uwakilishi ktk maswala ambayo ni muhimu zaidi kwa wananchi halafu basi kinachochekesha zaidi sii ajabu huyu mbunge anakubaliana na maudhui ya hoja isipokuwa kitendo cha kutolewa Lissu..CUF kuingia kambi ya Upinzani ni kazi iliyofanywa kwa nguvu kubwa sana pamoja na kwamba haikuwa halali. Wamewezeshwa kupata fursa hiyo leo unaitupa kwa sababu ya Lissu? huu si ukichaa jamani?
Wanasiasa wa Bongo kweli ni kichwa cha mwendawazimu..

mjomba acha kuangalia vitu with BIAS EYES unadai kuwa hakuna kufukuzana ndani ya ccm una huakika na hilo
nenda kamuulize rostam , nenda kamuulize shibuda baada ya kutishia ku mchallenge JK kwenye president, nenda kamuulize sherrif hamad baada ya kutofautiana na ccm nini kilimtokea, nenda kamuulize Thomas Nyimbo baada ya kutofautiana na mkapa nini kilimtokea na wengineo wengi. kwa taarifa yako wengi wangetoka ccm kama vyama vingine lakini ccm ina kitu kimoja ambavyo vyama vingine havina vyeo vya kiserikali ikiwemo ukuu wa wilaya na ukuu wa mikoa na vyeo vingine mbalimbali ambavyo wahusika hupewa/uongwa ili wasiondoke na hii ndio sababu ya msingi ya wahusika kubaki ccm siyo kwa sababu ya uzalendo wao kwa ccm ila kinachowaweka ndani ya ccm ni vyeo tu na this is true hata kwa chadema siku itakayochukua madaraka wengi hawatatoka tena kwa sababu nao watakuwa na vyeo vya kuwapooza watu . leo hii ccm ikitoka madarakani ikawa haina vyeo vya kuwaonga watu kitabakia na wananchama wawili mfano mzuri ni KANU .kumbuka kufukuzana siyo lazima mtu akwambie toka waswahili wanasema hakufukuzaye hakwambii toka ila vitendo ndio vitakavyokufanya utoke.
 
CUF inawezekana wamesoma alama za ukutani huenda kulikuwa na mpango wa kuwatimua au kutowashirikisha baadaye kwahiyo wamejitoa kabla hayo hayajawafika. wabunge wengi wa CUF hawana michango yeyote ndani ya bunge wanaonekana wengi wachovu kasoro labda yule mama sakaya ndio naweza kumkubali kuwa at least yeye anafight kidogo. haina ya upinzani inayotolewa na chadema ndio inayotakiwa, CUF inataka ROYAL OPPOSITION hiyo haiwezi ku work ktk serikali hii.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Huyu mwanamke naye mcharuko kama Ashaboko...ukishaolewa panua miguu mama!
 
Waacheni cuf wambembeleze bwana magamba kwani hawana jipya hao zaidi ya kujikomba tu wanaogopa kupewa talaka maana hawana hata pakushika
 
Back
Top Bottom