Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
<br />Mbunge wa CUF leo kaonesha wazi kuwa ni damu damu, kwani kaomba mwongozo wa mkiti wa kuwa wao na CDM hawako kambi moja . <br />
<br />
Nawsilisha.
<br />
isingewezekana wao kuwa kambi moja na chadema, ndoa yao inawabana, na wangekubali kuwa kambi moja na chadema tungewaona ni malaya kutokana na kwamba ccm wanawakula vitu.