mwanamakole
Member
- Dec 3, 2015
- 91
- 94
Kwa wale wenzangu na mimi, watumishi wa Serikali walojiunga na watumishi portal.
Taarifa katika kipengele hiki bado ni za tangu april 2017. Ilipoanzishwa wahusika walikuwa wakijitaahidi kuhuisha taarifa za karibu kila mwezi. Lakini baada ya April hadi leo taarifa hazijabadilika, mwenye kufahamu nini sababu atujuze.
Nawasilisha
Taarifa katika kipengele hiki bado ni za tangu april 2017. Ilipoanzishwa wahusika walikuwa wakijitaahidi kuhuisha taarifa za karibu kila mwezi. Lakini baada ya April hadi leo taarifa hazijabadilika, mwenye kufahamu nini sababu atujuze.
Nawasilisha