Shukurani sana mkuu,account ya PayPal ninayo ila sijawahi kuitumia tangu niifungue sijui japo unanishaurije na address niliweka ya TanzaniaKwa paypal fungua akaunti ya paypal ila nchi chagua kenya weka address ya kenya itakubali kupokea ela. Ila itakuwa vizuri wakati unaifungua uwe na line ya safaricom na uifungue kwa jina lililosawa na hiyo line pamoja na tarehe ya kuzaliwa na ID iliyotumika kusajilia line.
Kama huna fungua kwa jina lako address weka ya kenya halafu ikishaingia ukitaka kutoa utawatumia hawa PayPal to Mpesa within 5 minutes
Utacheck rate zao wamekuwekea calculator utaweka dollar utapewa in keshs kiasi utakachopokea. ni instant hawachelew sema makato siyo friendly mfano dollar 80 utaishia kupata kama 154,000 hivi
Paypal yenye address ya Tanzaniahaipokei pesa waituma itagoma na kumrudia aliyetuma wala kwako haitofikaShukurani sana mkuu,account ya PayPal ninayo ila sijawahi kuitumia tangu niifungue sijui japo unanishaurije na address niliweka ya Tanzania
Kwahiyo nifungue mpya? Na nikiweka address ya kesha je namba ya simu ya Tanzania itakubali kuandikwa ?Paypal yenye address ya Tanzaniahaipokei pesa waituma itagoma na kumrudia aliyetuma wala kwako haitofika
Ya fungua nyingine, namba ya simu weka yoyote yenye kuanza na code za kenya, ila usije ruhusu 2FA, nna kama watumia PC au simu activate paypal onetouch baada ya kufungua hiyo account.Kwahiyo nifungue mpya? Na nikiweka address ya kesha je namba ya simu ya Tanzania itakubali kuandikwa ?
Ahsante sana, ngoja ifungueYa fungua nyingine, namba ya simu weka yoyote yenye kuanza na code za kenya, ila usije ruhusu 2FA, nna kama watumia PC au simu activate paypal onetouch baada ya kufungua hiyo account.
Hivi hapa tanzania kuna sehem wanasajili laini ya safaricom?Kwa paypal fungua akaunti ya paypal ila nchi chagua kenya weka address ya kenya itakubali kupokea ela. Ila itakuwa vizuri wakati unaifungua uwe na line ya safaricom na uifungue kwa jina lililosawa na hiyo line pamoja na tarehe ya kuzaliwa na ID iliyotumika kusajilia line.
Kama huna fungua kwa jina lako address weka ya kenya halafu ikishaingia ukitaka kutoa utawatumia hawa PayPal to Mpesa within 5 minutes
Utacheck rate zao wamekuwekea calculator utaweka dollar utapewa in keshs kiasi utakachopokea. ni instant hawachelew sema makato siyo friendly mfano dollar 80 utaishia kupata kama 154,000 hivi
Ndio zipo nyingi tuHivi hapa tanzania kuna sehem wanasajili laini ya safaricom?
ofisi za voda au watu binafsi ndio wanasajili, mfano mtu akiwa arusha mjini wapi anaweza akasajili laini ya safaricomNdio zipo nyingi tu
Watu binafsi, moshi wapo nawafahamu ila Arusha sifahamuofisi za voda au watu binafsi ndio wanasajili, mfano mtu akiwa arusha mjini wapi anaweza akasajili laini ya safaricom
Watu binafsi, moshi wapo nawafahamu ila Arusha sifahamu
Kufungua sio tatizo ,tatizo ni kupokea hela na kuitoaNimejaribisha kufungua na namba yangu ya simu ya voda ya 0767 imekubali na imefungua account inaonekana hata voda mpesa inakubali sasa tayari nimeshafungua account paypal
Vodacom Mpesa haikubali kupokea pesa from paypal na wala hakuna option hiyo. tatizo siyo kufungua tatizo ni kuitoa hiyo pesa.Nimejaribisha kufungua na namba yangu ya simu ya voda ya 0767 imekubali na imefungua account inaonekana hata voda mpesa inakubali sasa tayari nimeshafungua account paypal
Nipo apa nasubiri wajuzi Nina shida inayofanana na iyo
Sina laini ya safaricom mkuuView attachment 1613500
Ela inatoka tu kwa safaricom, hizo transactions unazoona zina platnum content zote nimetoa pesa toka paypal kupitia hao platnum writers
Kama ulisoma nilichokuandikia kabla nilikueleza kama huna line ya safaricom nini la kufanya unless ulikuwa waasoma mstari mmoja tuSina laini ya safaricom mkuu
NimeshaunganishaKuna mtu alisema kwa M-pesa MasterCard inakubali, unanganisha na M-pesa MasterCard halafu withdraw...pesa itangia kwenye M-pesa MasterCard. Jaribu halafu ulete feedback
Mpesa master card haitoi pesa bali inaweka pesa kwa ajili ya kufanya malipo basi...Kuna mtu alisema kwa M-pesa MasterCard inakubali, unanganisha na M-pesa MasterCard halafu withdraw...pesa itangia kwenye M-pesa MasterCard. Jaribu halafu ulete feedback