Paypal Tanzania

mambo ya nyakati

Senior Member
Aug 24, 2022
115
144
Habar wakuu,

Juzi hapa nimefungua Paypal kwamara ya kwanza, nikaunga na VISA card IlA sasa nikitaka kutuma pesa au malipo yoyote kwa kutumia paypal hela inakatwa kwenye VISA card niliyounga.

Je, nauliza nikipokea pesa kwenye paypal yangu inaingia moja kwamoja kwenye VISA card au inakuwaje?

Na je, kama inaingia kwenye VISA maana yake naweza kutoa tu mojakwamoja hela kwa mpesa kwa kuitoa kwenye VISA?

Naombeni msaada wenu.
Asante.
 
Hauwezi kutoa (kupokea) hela kwa paypal ukiwa tz


Cha kufanya jiunge na paypal kama unaishi lesotho ,unganisha na kadi yako ya tz

Then unganisha na account yako ya bank ya USA ambayo utaipata wise.com
IMG_8736.jpg


Chini ni limits za account yangu ya paypal
 
Fungua business paypal account address jaza lesotho.


Itakupa option ya ku add credit card utaweka ya tz.


Pia utapewa option ya kuadd USA bank account hapo ndo utaweka ya wise.


Ukiunganisha na account yako ya wise ni ngumu sana kufungiwa account yako coz wanajua upo USA.
mimi nilifungulia philipine na kila mda fulani wananipaga $3 hadi kumi freee issue nilitaka kufaham kuzileta kwa tz!!? ikafika stage nikaona niwe nafanya matumizi tu ya online
Screenshot_20230225_022533_com.paypal.android.p2pmobile.jpg
Screenshot_20230225_022636_com.paypal.android.p2pmobile.jpg
Screenshot_20230225_022844_com.brave.browser.jpg
 
Fungua business paypal account address jaza lesotho.


Itakupa option ya ku add credit card utaweka ya tz.


Pia utapewa option ya kuadd USA bank account hapo ndo utaweka ya wise.


Ukiunganisha na account yako ya wise ni ngumu sana kufungiwa account yako coz wanajua upo USA.
Nilipokeaga hela $20 walizizuia mpaka nilipo submit docoments uzuri nilifungulia philipine but docoments za tz .wakumbushe kuweka docoments og za tz ili wakizuia iwe rahisi kuomba kuachiwa mzigo wake
 
Back
Top Bottom