PostGE2025 Kutishia kuua kwa maneno ni kosa la Jinai. Sheikh aliyetishia kukata vichwa watu kwa majambia anapewa onyo!

PostGE2025 Kutishia kuua kwa maneno ni kosa la Jinai. Sheikh aliyetishia kukata vichwa watu kwa majambia anapewa onyo!

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,773
Reaction score
5,930
Kifungu cha 89 2(a) cha kanuni ya adhabu kimeweka wazi kabisa kuwa kutishia kuua ni kosa na mtu anapaswa kufungwa mwaka mmoja.

Mbona huyu sheikh amepewa kadi ya njano na huku amefanya makosa?

Pia soma > Uislamu unamkataa Sheikh aliyehamasisha kukata vichwa. Masheikh wenzie walaani

FB_IMG_1764054446055.jpg
 
Sheikh alitishia waandamanaj sasa inabid muandamanaj uende polis kushtaki sasa sijui unaanzaje kujieleza
 
Kumkata kichwa nani?
Binaadamu au hukumsikia akisema tutakatana vichwa? Anatakiwa akamatwe ahojiwe ataje hao ambao anataka awakate vichwa. Na hili suala linaonyesha masheikh hawatanii kuhusu kukata watu vichwa maana kauli kama hii mara ya kwanza ilianza kutamkwa siku ile ya uzinduzi wa hema la Mwamposa mbele ya Samia.
 
Binaadamu au hukumsikia akisema tutakatana vichwa? Anatakiwa akamatwe ahojiwe ataje hao ambao anataka awakate vichwa. Na hili suala linaonyesha masheikh hawatanii kuhusu kukata watu vichwa maana kauli kama hii mara ya kwanza ilianza kutamkwa siku ile ya uzinduzi wa hema la Mwamposa mbele ya Samia.
Utamtishia mtu/kitu kisichokuwepo!?
 
Halafu kuna Tume imeelekezwa kuchunguza kauli za wapinzani za "kukinukisha".

Kazi kwelikweli.
 
Utamtishia mtu/kitu kisichokuwepo!?
Lissu aliyesema tutakinukisha ni kitu kilichokuwepo? Kati ya kukinukisha na kukata watu vichwa kipi ni threat kwenye nchi? Pelekeni upumbavu wenu huko.
 
Lissu aliyesema tutakinukisha ni kitu kilichokuwepo? Kati ya kukinukisha na kukata watu vichwa kipi ni threat kwenye nchi? Pelekeni upumbavu wenu huko.
Kukinukisha pasikalike,nchi ipo so unaweza nukisha isikalike
 
Utamtishia mtu/kitu kisichokuwepo!?
Ulitaka kiwepo vp? Kwani Lissu alivyokamatwa kwa matamshi ya kukinukisha kulikuwa na kitu gani?

Yani unataka kusubiri mpaka masheikh wakate watu vichwa kweli ndio wakamatwe? Basi mngesubiri na Lissu hani akinukishe ndio akamatwe.

Kabla ya maandamano polisi walikuwa kuna watu wameshapanga kuwakamata kwa kutoa kauli za uchochezi kuhusu kufanya maandamani, wakasema wanawasubiri wakitoka kumaliza kupiga kura hao wanaenda kuwakamata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom