MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,228
- 2,423
Mi na baibui langu ndo maana nahisi midume inaniogopa. That's y sisumbuliwi,raha mustarehe
Kumbe Bujibuji we ni mwanamke!
Mi na baibui langu ndo maana nahisi midume inaniogopa. That's y sisumbuliwi,raha mustarehe
kwan unabakwa?au unawafata mwenyewe?[/QUOTE]
Kama kila mtu akiamua kutumia silaha yake kwa kisingizio kwamba umenifuata mwenyewe.....mmmh isdhani nyie akina dada kama mtabaki, sijui kweli sijui....maana na mimi nitasema umekuja mwenyewe, ngoja nikutende ninavyotaka....prove me wrong
Lakini kwanini mwanamke uonyeshe maziwa yako nje? kila mtu anayaona hadi mdogo wako wa kiume? loooo, hadi majitu ya ajabuajabu tu yanajua jinsi maziwa yako yalivyo? yalitakiwa yawe spesho kwa umpendae tuu sio kila mtu anakuchungulia tuu. aibu kwa mwanamke anayejiamini na kujiheshimu.
Nakubaliana na wewe Remmy asilimia 100%!!
:clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2:Mhhhhh sasa wasipotingisha,wafanye nini
na huku wamejaaliwa na kubarikiwa......
Wewe ulitaka wafanye nini na mkalio yao?
Mimi nataka watingishe zaidi.....
Jamani makabila mengine makalio ya kanda ya Ziwa na Unyamwezini, Unyakyusani ni tishio tofauti na Tanga au Zenj/Pemba wanakohusudu kamchezo.
Kwa hiyo zegembe ni zegembe Mama linatingishika bila hivyo hakuna mwendo au kukimbia
kuna ushahidi sisemi kwa kukurupuka,hata madem wengine wanakwambia nipige kwa nyuma ili makalio yalegee na nitengeneze hips pia yawe makubwa huo ndio ukweli hata mkipinga,tafuteni makungwi wajuaji wa mambo wawaeleze,kuna ukweli ndaniyake,wala si kusudio langu kuzalilisha mtu,ila hilo lipo hata mkipinga pingeni lakin kuna ukweli ndaniyake.
hahaahah sipati picha ...lol
Mimi nilitaka...wactikise na yajitikise yenyewe automatically maana kuna wengine vimbaumbau wanatingisha mifupa 2 lol!
jiheshimu uheshimiwe uheshimiwe mbona umemaind au nawewe uko ktk mtandao huo?Labda kwa mademu zako kama sio dd zako
wewe nani kakudanganya eti kuliwa ndogo niwatu wa pwani tu,hakuna mji hata mmoja hapa tanzania ambao hakuna mchezo huo kwa sasa,hata kama nikwakuzidiana kulingana namaeneo ila ukweli utabaki palepale wanawake wenyewe wanapenda kupigwa beki,japo sio wote ila wapowengi wanapenda.Jamani makabila mengine makalio ya kanda ya Ziwa na Unyamwezini, Unyakyusani ni tishio tofauti na Tanga au Zenj/Pemba wanakohusudu kamchezo.
Kwa hiyo zegembe ni zegembe Mama linatingishika bila hivyo hakuna mwendo au kukimbia
Wadau nimevumilia tabia kwa muda mrefu tabia hii ya wakina dada ya kutikisa makalio pale waonapo wanaume wengi tumekaa,saa nauliza lengo ni kututia hamasa au tuone maumbile yao.?
jiheshimu uheshimiwe uheshimiwe mbona umemaind au nawewe uko ktk mtandao huo?
Na hasa akiwa hajavaa chup* ndo balaa
Wale wenye tabia ya kuvaa vigauni vyepesi halafu ndani inatupiwa g - string tu, basi **** linavyocheza ni balaa....Mimi huna najisemea moyoni tu, hivi huyu ukimtongoza atakulaumu?