Stabilaiza
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 1,843
- 1,143
- Thread starter
- #81
Huwezi kuona kwa kuwa ukiangalia ukweli macho yako yanafumba ili ubaki gizani.Ushahidi wa kitoto sana sawa na muvi za jakie chain
Huwezi kuona kwa kuwa ukiangalia ukweli macho yako yanafumba ili ubaki gizani.Ushahidi wa kitoto sana sawa na muvi za jakie chain
Ni wazalendo tu watalaani, wapo wanaofurahia akina Ulimboka, Kibanda, Mwangosi na wengine wakikumbwa matatizo, ndiyo maana wanapanga na kutekeleza uharamia huu.Issue ya tofauti ya picha ya upande wa jicho lililoathirika inategemea na hiyo picha amepigwa mhusika live au kutoka chanzo kingine let's say tv hiyo itakuwa imegeuka. muhimu hapo fuatilia mwandishi amesema ni upande gani, but all in all ndugu yetu kibanda amefanyiwa unyama ambao sisi sote ktk umoja wetu tunapaswa kuulaani!!
Serikali kupitia jeshi la polisi imeendelea kuwa na majibu mepesi katika matukio ya utekaji ,uteseji na mauaji yanayotokea hapa Tanzania katika uongozi huu wa awamu ya nne.Naishauri serikali kama imekosa uwezo kufanya uchunguzi na kudhibiti hya mambo wsione haya kuomba msaada kutoka Uingereza (Scotland Yard) na Marekani (CIA)ambao wameonekana kuwa tayari kuwasaidi.Kuendelea kutembelea majeruhi na kutoa matamko kila siku haiwezi kuwa suluhu ya kuponya amani yetu inayotoweka kila kunapokucha.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Nifahamishe msingi wa swali hili, litakujibu
Ushahidi wa kitoto sana sawa na muvi za jakie chain