weka wazi kama unafaham waliotenda kwa mwanahabari huyu, unaweza kusaidia upelelezi na kukamatwa kwa watu hao kuliko kuandika au kulopoka, tunaomba kama unaundani halisi wa tukio hili tujuze.
fatilia alichokisema ktk kipindi cha jenerali on monday utaipata picha.ila kama wewe ni gamba na akili zenu za kushikiwa sorry sn!