N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,533
Muache kuongopea umma chama chenu hakiwakilishi Wahariri wote wa nchi hii.
chama Chao TEF si chama cha haki na wala si chama cha Wahariri Tanzania kwa sababu hakiwakilishi Wahariri wote kutoka vyombo vyote Tanzania ni kakikundi tu ka editors hasa wa Print media ndio walaji humo.
Uanachama wa TEF wa the so called eti "Jukwaa la Wahariri" wa Tanzania. Are you sure linawakilisha vyombo vyote vya habari Tanzania!?
Nadiriki kusema hako ni kakikundi ka waandishi wa Habari wachache akina Neville Meena na wenzake hasa kutoka 'print media' ambao wamejikusanya ili kupiga fedha huku chama Chao tangu kuasisiwa kwake kikikosa uwakilishi wa Wahariri wote wa Tanzania.
Hivyo basi,TEF sio Jukwaa la Wahariri Tanzania. Ni chama cha wahariri mikoa ya Dar na Dodoma.
Nchi hii media hazipo Dar na Dodoma tu.
Badala yake waliite Jukwaa la Wahariri Dar es salaam na Dodoma maana ndiko members wa hicho chama cha kimkoa wanakotoka.
Msijifanye wasaafii sana rekebisheni kwanza hicho chama chenu kiwe inclusive kiwajumuishe editors wote wa Tanzania kutokea media za Tunduru, Katavi, Mbulu, mpaka Mtwara na kote nchini.
Waandishi wa Habari hii Tanzania ni wabinafsi sana ndio maana hata MCT iliyopo imefeli that's why serikali itawaundia independent MCT. Mnaboa mnaojiita eti TEF.
Kachama kenu kamekuwa kakibinafsi kama ilivyo MCT ya kina Kajubi media nyingi hazina uanachama wala hao wanataaluma sio wanachama
Tuna waandishi wa habari lukuki hii nchi ila waulize lolote kuhusu MCT au TEF hawajui
Kwenye vilabu vya uandishi nako tatizo nitakuja na uzi wake one day!...
Media ya Tanzania mkiendelea hivi tutachelewa sana kufika tunakopaswa kwenda
Juzijuzi hapa mkamualika Mheshimiwa PM as if TEF stands for all mass media editors kumbe ni nyinyi tu
Ifike pahala Mass Media as a profession mjitambue muwe na chama kimoja kama ilivyo Tanganyika Lawyers Society TLS ambacho kinasimamia uniquely masilahi ya wanasheria
Yaani Mass Media mna sijui Jukwaa sijui MCT sijui mwamvuli wa vilabu vya waandishi sijui chama cha waandishi wa nini na nini....you guys aren't one ndo maana mnafeli
Bora serikali imewaundia tu Independent Media Council maana mmeshindwa kujisimamia mnakimbizana na bahasha za kaki ndo maana yule mwigizaji siku ile alidharau taaluma akijua media persons wako bent kwenye pesa tu and nothing else
chama Chao TEF si chama cha haki na wala si chama cha Wahariri Tanzania kwa sababu hakiwakilishi Wahariri wote kutoka vyombo vyote Tanzania ni kakikundi tu ka editors hasa wa Print media ndio walaji humo.
Uanachama wa TEF wa the so called eti "Jukwaa la Wahariri" wa Tanzania. Are you sure linawakilisha vyombo vyote vya habari Tanzania!?
Nadiriki kusema hako ni kakikundi ka waandishi wa Habari wachache akina Neville Meena na wenzake hasa kutoka 'print media' ambao wamejikusanya ili kupiga fedha huku chama Chao tangu kuasisiwa kwake kikikosa uwakilishi wa Wahariri wote wa Tanzania.
Hivyo basi,TEF sio Jukwaa la Wahariri Tanzania. Ni chama cha wahariri mikoa ya Dar na Dodoma.
Nchi hii media hazipo Dar na Dodoma tu.
Badala yake waliite Jukwaa la Wahariri Dar es salaam na Dodoma maana ndiko members wa hicho chama cha kimkoa wanakotoka.
Msijifanye wasaafii sana rekebisheni kwanza hicho chama chenu kiwe inclusive kiwajumuishe editors wote wa Tanzania kutokea media za Tunduru, Katavi, Mbulu, mpaka Mtwara na kote nchini.
Waandishi wa Habari hii Tanzania ni wabinafsi sana ndio maana hata MCT iliyopo imefeli that's why serikali itawaundia independent MCT. Mnaboa mnaojiita eti TEF.
Kachama kenu kamekuwa kakibinafsi kama ilivyo MCT ya kina Kajubi media nyingi hazina uanachama wala hao wanataaluma sio wanachama
Tuna waandishi wa habari lukuki hii nchi ila waulize lolote kuhusu MCT au TEF hawajui
Kwenye vilabu vya uandishi nako tatizo nitakuja na uzi wake one day!...
Media ya Tanzania mkiendelea hivi tutachelewa sana kufika tunakopaswa kwenda
Juzijuzi hapa mkamualika Mheshimiwa PM as if TEF stands for all mass media editors kumbe ni nyinyi tu
Ifike pahala Mass Media as a profession mjitambue muwe na chama kimoja kama ilivyo Tanganyika Lawyers Society TLS ambacho kinasimamia uniquely masilahi ya wanasheria
Yaani Mass Media mna sijui Jukwaa sijui MCT sijui mwamvuli wa vilabu vya waandishi sijui chama cha waandishi wa nini na nini....you guys aren't one ndo maana mnafeli
Bora serikali imewaundia tu Independent Media Council maana mmeshindwa kujisimamia mnakimbizana na bahasha za kaki ndo maana yule mwigizaji siku ile alidharau taaluma akijua media persons wako bent kwenye pesa tu and nothing else