Kutenguliwa Uafisa Habari ACT-Wazalendo

Kutenguliwa Uafisa Habari ACT-Wazalendo

Pole. Kuwa kama mimi sina chama. Natoa mawazo yangu kwa uhuru kabisa.
 
Mkuu umesahau kuwa afsa habari in MTU wa propaganda? Ni sawa na Thobias kifaru..Masau bwile and the like
 
Muulize Zitto kwanini yeye hakutumbuliwa alipounga mkono hotuba ya JPM kufungua Bunge la Jamhuri ya Muungano?
 
Karibu Chama cha mapinduzi, watakutakasa na sanitaiza utakuwa salama. Korona inaua hofu inaua zaidi
EXFgmpbXkAE6avF.jpeg
 
Demokrasia ngumu sana, kwenye serikali mnataka demokrasia lakini kwenye SACCOS zenu demokrasia hakuna, kweli Zitto ni mtu wa hovyo sana.
 
Demokrasia ngumu sana, kwenye serikali mnataka demokrasia lakini kwenye SACCOS zenu demokrasia hakuna,kweli Zitto ni mtu wa hovyo sana.
Na utakufa kweli eti mfianchi!
Tafuta historia ya mzee Nnauye.
 
Mleta uzi anajihisi tu, angewapa nafasi waliomfukuza ndio waseme sababu za kumfukuza siyo yeye kutujaza maneno ambayo hayapo kwenye barua ya kumtengua.

Yeye alipaswa kujibu barua, sio kuja na hisia zake hapa.

Utetezi hutolewa baada ya kushutumiwa, sasa yeye anajitetea na hajashutumiwa kwa lolote, yeye kaondolewa kwenye nafasi aliyokuwa akihudumu basi, hakuna maelezo ya kwanini kaondolewa.

Vipi akipewa unaibu mwenyekiti atatuambia nini?!

Mnapenda sana vyeo, ndio tatizo lenu mnapopokwa mnalialia hovyo.
 
Mnyampaa, dalili zimeanza siku nyingi tu kwamba wewe ni Turncoat yaani ushakuwa flipped so ACT hawawezi kurisk maana unakaa Kama ushakuwa snitch

Karibu CCM tujenge chama
 
Kama unapongeza upuuzi unaofanywa na vyama Vingine unastahili ufukuzwe kabisa
 
Uliyoyaandika yawe hakika yamekutoka moyoni. Tusisikie umebadilisha angani wiki ijayo
 
Back
Top Bottom