mangi waukweli
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 246
- 27
Wana bodi kwakua NECTA hawakupi cheti kingine ikiwa umepoteza cheti cha form 4 na form 6 je kama ukitengeneza cha mitaani na kikafanana na kile kile cha mwanzo na kina index number yake hivi nayo itahesabika kwamba ni cha kufoji?
Na je hivi huku mtaani ni kweli kuna watu wanatengeneza kama kilivyo cha wanachotoa necta tusaidieni tuliopoteza maana necta wanatusumbua wanataka uwe unatembea na barua kuna sehemu zingine uwezi pata ajira kirahisi mpaka uonyeshe cheti
Na je hivi huku mtaani ni kweli kuna watu wanatengeneza kama kilivyo cha wanachotoa necta tusaidieni tuliopoteza maana necta wanatusumbua wanataka uwe unatembea na barua kuna sehemu zingine uwezi pata ajira kirahisi mpaka uonyeshe cheti