ulikimbia umande au?? mkuu hamna shortcuts kwenye hizi mambo!!! nenda QT kafanye mambo kama uwez tulia msije endelea kuchachua elimu yetu bure!!!Wana bodi kwakua necta hawakupi cheti kingine ikiwa umepoteza cheti cha form 4 na form 6 je kama ukitengeneza cha mitaani na kikafanana na kile kile cha mwanzo na kina index number yake hivi nayo itahesabika kwamba ni cha kufoji? Na je hivi uku mtaani ni kweli kuna watu wanatengeneza kama kilivyo cha wanachotoa necta tusaidieni tuliopoteza maana necta wanatusumbua wanataka uwe unatembea na barua kuna sehemu zingine uwezi pata ajira kirahisi mpaka uonyeshe cheti
Wana bodi kwakua necta hawakupi cheti kingine ikiwa umepoteza cheti cha form 4 na form 6 je kama ukitengeneza cha mitaani na kikafanana na kile kile cha mwanzo na kina index number yake hivi nayo itahesabika kwamba ni cha kufoji? Na je hivi uku mtaani ni kweli kuna watu wanatengeneza kama kilivyo cha wanachotoa necta tusaidieni tuliopoteza maana necta wanatusumbua wanataka uwe unatembea na barua kuna sehemu zingine uwezi pata ajira kirahisi mpaka uonyeshe cheti
ulikimbia umande au?? mkuu hamna shortcuts kwenye hizi mambo!!! nenda QT kafanye mambo kama uwez tulia msije endelea kuchachua elimu yetu bure!!!
DhuuuCha mtaani hakina ule mhuri wa moto wanaita sijui holligram kwa wanaokumbuka wanisahhshe. Huwa ukielekeza juani unabadlika rangi. Huo ndio huonesha ufek maana material na kila kitu vnaweza kufanana lkn hapo Big No.
Hii Haina shida.Wana bodi kwakua NECTA hawakupi cheti kingine ikiwa umepoteza cheti cha form 4 na form 6 je kama ukitengeneza cha mitaani na kikafanana na kile kile cha mwanzo na kina index number yake hivi nayo itahesabika kwamba ni cha kufoji?
Na je hivi huku mtaani ni kweli kuna watu wanatengeneza kama kilivyo cha wanachotoa necta tusaidieni tuliopoteza maana necta wanatusumbua wanataka uwe unatembea na barua kuna sehemu zingine uwezi pata ajira kirahisi mpaka uonyeshe cheti
Kaka hivi hawa print kingine na kukupa ukishapoteza kile chakwanza?ukipoteza noti yako ya shiling elfu kumi, ukaamua kwenda kutafuta noti feki, je unaweza kutetea kumiliki hiyo noti feki kwa kigezo kuwa ulisha ibiwa noti yako orijino?.
kile cheti hakikuwa chako kilikuwa cha necta kikatolewa kwako, kama umepoteza na wamekupa document inayoonyesha ulipoteza basi tumia document hiyo hiyo, wewe ku-print feki ni kosa na unaweza kufungwa, ni hatari hiyo. kumbuka siyo kuwa hawakupi kingine kwakuwa hawawezi kuprinti kingine, huu ndo utaratibu wao.
Aliyekwambia hawakupi ni nani?! Yaani wewe uende ukawaambie kuwa hujui cheti chako kipo wapi yaani kirahisi rahisi tu wakutengenezee kipya?!soma vizuri necta ukipoteza hawakupi kingine sasa utafanya vipi ikiwa mtu kakuibia
Serial namba ndio ileile iliyopo kwenye result slip,kwahiyo wakiichukua hiyo haina shidaila kuna serila number kaka,,,jambo ambalo nadhan ni gumu,,,sidhan kama unaikumbuka serial number ya chet chako kwa sasa,nayo ipo kwenye system yao
Hata kiungue uwapelekee majivu na clip wakati kinaungua hupati kipyaAliyekwambia hawakupi ni nani?! Yaani wewe uende ukawaambie kuwa hujui cheti chako kipo wapi yaani kirahisi rahisi tu wakutengenezee kipya?!
Sheria inataka ujue cheti chako kipo wapi tena kwa ushahidi na maelekezo. Unaweza kuta umekimisplace chumbani kumbe kipo halafu wakutengenezee kingine halafu kesho na keshokutwa unakiuza mtu anakuja kukitumia kuombea kazi.